Mashaurini huyu Mwanamke

Endelea kupambania ndoa labda nikwambie kitu kimoja usipobadilika mwisho wako n mbaya sana watoto wa sku hz mkoje yaan mtu ambaye unategemea awe mme wako anakwambia toa mimba moja unaenda mpaka tatu inamana ww n mbulula kias gan kwamba huwez kuhis chochote we endekeza mihemko yako mwisho wako nakwambia utakuwa mbaya
 
Kiufupi, hufai kuwa mama wa watoto wake ndio maana hata mimba mnazichomoa.
Hufai hata kuwa mke.!!
Hufai hata kulumangia kachumbari.

Mwanamke wa kujisifu kutoa mimba nyingi za mwanaume Ni poyoyo na kichwani kwake Kuna kamasi tupu!!
Jamaa povu kama loooote
 
,
 
Pambana yatakwisha Mama
 
Kumbe umeshatoa mimba zake kibao..

nikwambie ukweli..

hakuna mwanaume anaoa mwanamke anaetoa toa mimba .. Labda tu awe hajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…