nataka kuanzisha shule ya chekekea, ni masharti gani ya kisheria natakiwa kutimiza/wapi naweza kupata maelezo ya hizo requirements, nimejaribu kuangalia katika mtandao wa wizara ya elimu lakini hakuna maelezo haya
Lakini siyo lazima Wizarani
Nenda kwenye Halmashauri yako Onana na mtu wa Ustawi wa jamii na au Afisa Elimu wa wilaya
Siyo issue sana lakini kama target yako ni kuwa na kuendesha shule ya msingi kuwa wazi kwao,kwani wengi wanaanza na chekechea kwa malengo ya kuanzisha shule za engklish medium,kuna fomu fulani inaitwa namba 7 kitu kama hicho,Kama hauko kwenye Jijiji la shida(Dar) WEWE NENDA WILAYANI KWAKO tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.