Masharti mapya bima afya yaanza

Masharti mapya bima afya yaanza

Hili suala litamuondoa Ummy mijino pale Afya au Anna Makinda Manywele kama Mwenyekiti wa Bodi
Kwamba mpaka inafikia kuanza utekelezaji itakuwa haikupitia Baraza la Mawaziri !
Kama akitolewa itakuwa ni kumfanya mbuzi wa kafara tu ila jambo hili lina baraka zote.
 
Shida hata watu walio serious kwa ajili ya kuwapa hayo madaraka kwa sasa hawapo

Tatizo si watu wa kuwapa kwani hata hawa waliopo unadhani ni wajinga kiasi hili? Kwa katiba iliyopo wanajikuta kwenye mazingira ya kulazimika haya:

Watendaji CCM jukumu la kwanza ni kusifia sifia

1. Sifia sifia
2. Kusanya hela Kwa vyovyote

Si kuwa kina Ummy, Mwigulu au Zungu hawayaoni haya. Ila sasa kwa mazingira ya sasa wanafanya je?
 
Back
Top Bottom