Masharti mapya bima afya yaanza

Source?
 
Nililipa laki halafu sijawahi kuugua
Mshukuru Mungu kwa kuto kuugua. Pia tuna kupa Asante maana hela yako ilisaidia watu wengine walio ugua kipindi hicho kupata matibabu, hiyo ndio faida ya Bima
 
Kumbe research kimefanyika basi itumike katika kufanya maamuzi kulingana na kipato halisi cha mwananchi

Kwa research hiyo pato la chini ni 137,000/- kwa mwezi.

Lakini pia gharama za tiba ni halali kiasi gani?
 
Hivi hakuna namna ya kujitoa NHIF kwa Watumishi wa Umma?

Kama uwezekano upo naombeni utaratibu
Kwa upande wa mtumishi usijaribu kabisa. Siku yakikufika utajuta kazaliwa. Tuambie utatumia mbinu gani kujikinga na majanga ya kiafya?
 
Wanacheza na probability za odds za mkubwa kuugua Ni kubwa mno kuliko kijana ama chini ya 35
 
Wanacheza na probability za odds za mkubwa kuugua Ni kubwa mno kuliko kijana ama chini ya 35
Najua wanafanya hivyo hao wakubwa sehemu zingine ndio wanachangia kidogo maana wamechangia mifuko mingi ya Serikali mpaka kufika hapo nachomaanisha wazee hawasaidiwi kitu chochote kwenye Nchi yao wakati wenzetu wanatunzwa wazee sisi matibabu tuu mtihani...utasikia tuna gesi,madini sijui wanyama na mbuga zote sasa faida ya kuwa na vitu vyote hivyo kwa Wananchi ni nini?
 
Kodi zetu mikopo inafanya kazi gan aisee hospital znajengwa kwa kodi zetu wadaktari wanalipwa kwa kodi zetu kwanini tunafanyiwa ivi tatizo hata ulalamike hakuna kitu kitakacho badilika na hakuna chama kinacho weza tufuta machozi 🥹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…