Issue si vx v8 bali issue ni strata nani apewe lipi ni aibu la waziri mkuu linapofanana na mkuu wa wilaya. Kuna alternatives nyingine za suvs kama land rover,vw audi mercs bmw land cruiser lx hardtop.
Lets say waziri mkuu apate vx v8 , mawaziri kawaida vx plain, naibi waziri say vw toareg wakuu wa mikoa landrover puma wakuu wa wilaya suzuki grand vitara na kadhalika.
Shida ni kwamba hakuna daraja nani apate lipi.
As well govt iki diversify pool ya magari itaweza kutathmini magari gani ni reliable running costs durability na vitu kama hivyo. Naona hiyo ndio hoja ya msingi hatuwezi condemn bila kuwa na suggestion kwa hao procurement officers wavivu wa kufikiri.