Mashangazi mmekumbukwa huku

Mashangazi mmekumbukwa huku

Nasikitika sana kama ni doctori kweli, coz hamna mtu mwenye access ya wadada na wamama kama daktari kibongobongo yani wanajipanga foleni deile mlangoni kwa ofisi yake, so anaweza kuimbisha atakavyo na kuchagua sample anayotaka at any time, ukiona daktari anatafuta kimeo online ujue labda wa mifugo!

Pole yake...
Sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom