Mashamba yanauzwa Morogoro

Mashamba yanauzwa Morogoro

Kapuku83

Senior Member
Joined
Sep 8, 2012
Posts
146
Reaction score
35
Mashamba makubwa yanauzwa mkoani Morogoro katika wilaya ya Kilosa eneo la Msowelo,kwa mwenye kuhitaji naomba ani PM tafadhali
 
Mashamba makubwa yanauzwa mkoani Morogoro katika wilaya ya Kilosa eneo la Msowelo,kwa mwenye kuhitaji naomba ani PM tafadhali

TAHADHARI: Kama huna uwezo wa kuliendeleza immediately unaponunua achana na hii biashara, binafsi ilishanigharimu kwa kunyang'anywa eka zangu 100 kwa kutoziendeleza mapema.
 
Asante sana mkuu hii habari, mimi ninampango wa kulima mahindi mwakani katika kiwango cha kibiashara, kama wewe unayafahamu maeneo haya waweza kutoa maelezo zaidi kuwa yanafaa kwa mazao gani haswa na taarifa za bei zitakuwa msaada mkubwa sana.
 
mimi natafuta kule matombo kwenye milima maana kunafanana na moshi mkuu
 
Asante sana mkuu hii habari, mimi ninampango wa kulima mahindi mwakani katika kiwango cha kibiashara, kama wewe unayafahamu maeneo haya waweza kutoa maelezo zaidi kuwa yanafaa kwa mazao gani haswa na taarifa za bei zitakuwa msaada mkubwa sana.

Mkuu maeneo haya yamegawanyika mara mbili,yapo ambayo yanafaa kwa kilimo cha umuagiliaji kama vile nyanya,tikiti maji,hoho,vitunguu etc,na pia yapo yanayofaa kwa kilimo cha kawaida kama vile,ufuta,alizeti,mahindi etc,kuhusu bei haya ya umuagiliaji yanaanzia 550,000/= kwa heka na maelewano yapo na haya yasiyo ya umuagiliaji yana range kati ya 370,000/= mpaka 430,000/= kwa heka ila maelewano yapo pia!
 
mimi natafuta kule matombo kwenye milima maana kunafanana na moshi mkuu

Matombo unatafuta kwa ajili ya kilimo au makazi mkuu!siko na uzoefu nako maeneo ya matombo,ila kama uko serious nikuulizie kwa wadau wa kule
 
Matombo unatafuta kwa ajili ya kilimo au makazi mkuu!siko na uzoefu nako maeneo ya matombo,ila kama uko serious nikuulizie kwa wadau wa kule
mkuu ni makazi na kilimo mkuu si unajua kule moshi ardhi imekuwa dili kinyama nataka nihamie moro na kizazi changu kijacho mkuu niko serious .
 
kuhusu bei haya ya umuagiliaji yanaanzia 550,000/= kwa heka na maelewano yapo na haya yasiyo ya umuagiliaji yana range kati ya 370,000/= mpaka 430,000/= kwa heka ila maelewano yapo pia!
Msowero..this price... interesting
 
Mkuu maeneo haya yamegawanyika mara mbili,yapo ambayo yanafaa kwa kilimo cha umuagiliaji kama vile nyanya,tikiti maji,hoho,vitunguu etc,na pia yapo yanayofaa kwa kilimo cha kawaida kama vile,ufuta,alizeti,mahindi etc,kuhusu bei haya ya umuagiliaji yanaanzia 550,000/= kwa heka na maelewano yapo na haya yasiyo ya umuagiliaji yana range kati ya 370,000/= mpaka 430,000/= kwa heka ila maelewano yapo pia!
mkuu vipi ,hayo mashamba yaliisha yote .na mlionunua tunaomba mrejesho
 
Back
Top Bottom