Mashamba Ya Kupanda miti ya mbao Yanauzwa

Mashamba Ya Kupanda miti ya mbao Yanauzwa

Joined
Oct 18, 2016
Posts
28
Reaction score
4
Bei ni tsh laki moja tu Kwa heka
Zinauzwa kuanzia hekali kumi na kuendelea
Yanapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe
Kwa mawasiliano zaidi npigie 0764426929 na whatsap 0742188846
Badilisha maisha yako kwa kilimo cha miti ya mbao
 
Ili niwe na shamba la 10acres lililo na miti jee niandae tsh ngapi?
 
Bei ni tsh laki moja tu Kwa heka
Zinauzwa kuanzia hekali kumi na kuendelea
Yanapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe
Kwa mawasiliano zaidi npigie 0764426929 na whatsap 0742188846
Badilisha maisha yako kwa kilimo cha miti ya mbao
Punguza bei nije kuchukua hekari za kutosha...nakuijia simuni
 
Bei ni tsh laki moja tu Kwa heka
Zinauzwa kuanzia hekali kumi na kuendelea
Yanapatikana ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe
Kwa mawasiliano zaidi npigie 0764426929 na whatsap 0742188846
Badilisha maisha yako kwa kilimo cha miti ya mbao

Hizo ni habari njema,je ni mapori ya familia au ya serikali ya kijiji na je sehemu hiyo miti inastawi maana naambiwa sio kila sehemu huko njombe miti inastawi vizuri
 
Hizo ni habari njema,je ni mapori ya familia au ya serikali ya kijiji na je sehemu hiyo miti inastawi maana naambiwa sio kila sehemu huko njombe miti inastawi vizuri
Ni mashamba Ya familia, huku ndio haswa miti hukua kwa haraka kuliko maeneo mengine ya mkoa wa njombe
 
Back
Top Bottom