Mashamba ya kukodi bei cheeee

Mashamba ya kukodi bei cheeee

Iyokopokomayoko

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2011
Posts
1,785
Reaction score
444
Mashamba ya kukodi bei chee.

1. Msanga mbele ya chanika karibu na Dar Es Salaam, kukodi kwa ekari kwa msimu mmoja = 50,000/ tu.

2. Mkinga wilayani mkoani Tanga kukodi kwa ekari kwa msimu mmoja = 60,000/= tu.

mawasiliano: 0769142586 au info@mashambaviwanja.info
 
Maji yapo ya kutosha hasa wakati wa mvua ila kama unataka kufanya umwagiliaji bado inawezekana kwa kuchimba kisima kwani maji hayapo mbali kwenda chini, ardhi ina rutuba ya kutosha. Hakuna sababu ya kuhofia juu ya maji huko.

Msanga kuna maji?
 
Maji yapo ya kutosha hasa wakati wa mvua ila kama unataka kufanya umwagiliaji bado inawezekana kwa kuchimba kisima kwani maji hayapo mbali kwenda chini, ardhi ina rutuba ya kutosha. Hakuna sababu ya kuhofia juu ya maji huko.
Mkuu,

Mashamba Ya kuuza je?
 
kukodi ni kivp, kwa mwaka au mpaka uvune zao lako ndo pesa yako ya kukodi inaisha?
 
Mashamba ya kukodi bei chee.

1. Msanga mbele ya chanika karibu na Dar Es Salaam, kukodi kwa ekari kwa msimu mmoja = 50,000/ tu.

2. Mkinga wilayani mkoani Tanga kukodi kwa ekari kwa msimu mmoja = 60,000/= tu.

mawasiliano: 0769142586 au info@mashambaviwanja.info
Njoo na hiyo pesa Mbeya wilaya mpya ya Momba nikupatie shamba lako mwenyewe, ulime mahindi, maharage, alizeti, soya, nk hata bila mbolea. Hati ya kimila itatolewa kwa gharama za ziada
 
Njoo na hiyo pesa Mbeya wilaya mpya ya Momba nikupatie shamba lako mwenyewe, ulime mahindi, maharage, alizeti, soya, nk hata bila mbolea. Hati ya kimila itatolewa kwa gharama za ziada

contact mkuu nipo nzovwe hapa,nije huko wiki hii
 
Unazo ekari ngapi?

Njoo na hiyo pesa Mbeya wilaya mpya ya Momba nikupatie shamba lako mwenyewe, ulime mahindi, maharage, alizeti, soya, nk hata bila mbolea. Hati ya kimila itatolewa kwa gharama za ziada
 
mkuu nitakucheki keshokutwa nataka ekari moja ama mbili, m thinking about kulima matikiti,ngoja nitafute mshauri kwanza.i will get back to u.
 
Back
Top Bottom