Hii kesi inachelewesha jimbo la CDM tu.
hapa hakuna namna ni kufanya uchaguzi tu......hukumu itolewe haraka sana
...dah! mkubwa umeona mbali zaidi ya jicho!...Nashangaa mtu akicheka mahakamani anahukumiwa hapohapo bila hata kujitetea, hawa wanaokiri makosa sijui hakimu anataka mtu mwingine aje ashtaki, "upelelezi ufanyike", alipwe sitting allowence, apate hongo ndio atoe hukumu! Period!!!