Mashabiki wote wa UKAWA kuwa makini

Mashabiki wote wa UKAWA kuwa makini

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Niwaombeni mashabiki wote wa vyama vinavyotengeneza ukawa tuwe makini sna,Ccm wanachokifanya wametuma vijana wao humu ndani jf kwa kuleta propaganda zinazo muhusu slaa,vijana hao wameelekezwa kuanzisha nyuzi ambazo zinachokonoa na kuchochoea chuki kwa slaa dhidi ya wananchi,hii n propaganda inayotumiwa na ccm na kuamnisha umma slaa amejiuzulu bila kuwa makini tutakuwa tunacheza ngoma za ccm bila kujijuwa,na hii wameefanya makusudi kabsa baada ya kuona magufuli kafunikwa hata hasikiki tena.kazi hiyo inafanywa kwa umakini sna huku wazee wa kitengo wakitajwa kuwa nyuma ya huu mpango,suala la dr slaa halijawa gumu kiasi hicho kama nyuzi zinavyomzungumzia humu.Hivyo basi niwaombe waumini wote na wafuasi wa ukawa kuwaa makini na uzi wowote unaoanzishwa humu ndani na magamba unahusiana na slaa.Na mkitaka kuamini angalieni id nyingi zinazo anzisha uzi wa dr slaa zimefunguliwa hivi karbuni kimkakati mtagunduwa
 
Tatizo ni za Dr Slaa kukaa kimya akiwaacha wananchi na wanachama wakihaha kujua alipo na anafanya nini. Kwa sababu umekuwa msemaji wake, mwambie atoke, aseme, aondoe mikanganyiko.
 
Niwaombeni mashabiki wote wa vyama vinavyotengeneza ukawa tuwe makini sna,Ccm wanachokifanya wametuma vijana wao humu ndani jf kwa kuleta propaganda zinazo muhusu slaa,vijana hao wameelekezwa kuanzisha nyuzi ambazo zinachokonoa na kuchochoea chuki kwa slaa dhidi ya wananchi,hii n propaganda inayotumiwa na ccm na kuamnisha umma slaa amejiuzulu bila kuwa makini tutakuwa tunacheza ngoma za ccm bila kujijuwa,na hii wameefanya makusudi kabsa baada ya kuona magufuli kafunikwa hata hasikiki tena.kazi hiyo inafanywa kwa umakini sna huku wazee wa kitengo wakitajwa kuwa nyuma ya huu mpango,suala la dr slaa halijawa gumu kiasi hicho kama nyuzi zinavyomzungumzia humu.Hivyo basi niwaombe waumini wote na wafuasi wa ukawa kuwaa makini na uzi wowote unaoanzishwa humu ndani na magamba unahusiana na slaa.Na mkitaka kuamini angalieni id nyingi zinazo anzisha uzi wa dr slaa zimefunguliwa hivi karbuni kimkakati mtagunduwa

Huku jf wote n watu wazima tunaojielewa hakuna wa kutuchezesha ngoma za ma ccm msimamo wetu cdm n kuchukua nchi pipooozzz??
 
Tatizo ni za Dr Slaa kukaa kimya akiwaacha wananchi na wanachama wakihaha kujua alipo na anafanya nini. Kwa sababu umekuwa msemaji wake, mwambie atoke, aseme, aondoe mikanganyiko.

wewe ndo hao hao naosema wamekunywa uji wa mgonjwa
 
Niwaombeni mashabiki wote wa vyama vinavyotengeneza ukawa tuwe makini sna,Ccm wanachokifanya wametuma vijana wao humu ndani jf kwa kuleta propaganda zinazo muhusu slaa,vijana hao wameelekezwa kuanzisha nyuzi ambazo zinachokonoa na kuchochoea chuki kwa slaa dhidi ya wananchi,hii n propaganda inayotumiwa na ccm na kuamnisha umma slaa amejiuzulu bila kuwa makini tutakuwa tunacheza ngoma za ccm bila kujijuwa,na hii wameefanya makusudi kabsa baada ya kuona magufuli kafunikwa hata hasikiki tena.kazi hiyo inafanywa kwa umakini sna huku wazee wa kitengo wakitajwa kuwa nyuma ya huu mpango,suala la dr slaa halijawa gumu kiasi hicho kama nyuzi zinavyomzungumzia humu.Hivyo basi niwaombe waumini wote na wafuasi wa ukawa kuwaa makini na uzi wowote unaoanzishwa humu ndani na magamba unahusiana na slaa.Na mkitaka kuamini angalieni id nyingi zinazo anzisha uzi wa dr slaa zimefunguliwa hivi karbuni kimkakati mtagunduwa
Usihofu mkuu tuko makini kuliko kipindi kingine chochote maana hapa ndo penye utungu!
 
Back
Top Bottom