Mashabiki/Wanachama wa CDM kama Mazombie

Mashabiki/Wanachama wa CDM kama Mazombie

Nisaidieni mimi mjinga, kwanini tangu Lowassa ahamie CDM washabiki na wanachama wake wamekuwa kama maZombie? Hii ni kwa wale wanaotaka kunisaaidia tuu.

Hakuna wa kukusaidia,kajisaidie kwanza
 
Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa vyama vingi TZ kura yangu itaenda kwa chama tawala.


Upinzani umenifanya nione kuwa hakuna haja ya kuwepo upinzani ...
Upinzani gani hauna jipya.
Upinzani gani hauna msimamo
Upinzani gani unakumbatia mafisadi na kujitahidi kuwasafisha,,,,,
Upinzani hovyo kabisa


Hebu hapo kwenye upinzani weka CCM. Kabla ya kupiga kura kwa uchaguzi ujao kuna haja ya kufikiri sana.
 
Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa vyama vingi TZ kura yangu itaenda kwa chama tawala.


Upinzani umenifanya nione kuwa hakuna haja ya kuwepo upinzani ...
Upinzani gani hauna jipya.
Upinzani gani hauna msimamo
Upinzani gani unakumbatia mafisadi na kujitahidi kuwasafisha,,,,,
Upinzani hovyo kabisa

Hovyo ni wewe na ukoo wenu wa panya
 
kwani huyo lowasa mbona inawauma sana kuhamia.chama kingine? mwacheni ukiona cha nn wanzako kwa ni kizuri tz kila mtu anahaki kuchagua chama anachokitaka

Huo ndio ukweli unaohitajika mkuu
 
ni rahisi kwa kahaba aliengia kwenye kundi la watakatifu kubadilika kuliko malaika alieingia kwenye kundi la waovu kubadilika! mshaambiwa hata ashuke yule malaika safi kutoka mbinguni aende CCM ndani ya wiki 1 tu atakuwa ibilisi! karibu kundini jembe letu LOWASSA....
 
Nisaidieni mimi mjinga, kwanini tangu Lowassa ahamie CDM washabiki na wanachama wake wamekuwa kama maZombie? Hii ni kwa wale wanaotaka kunisaaidia tuu.
Mchezo wapwani sio.style ya jf .komaa.kabisaaa...
 
kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa vyama vingi tz kura yangu itaenda kwa chama tawala.


Upinzani umenifanya nione kuwa hakuna haja ya kuwepo upinzani ...
Upinzani gani hauna jipya.
Upinzani gani hauna msimamo
upinzani gani unakumbatia mafisadi na kujitahidi kuwasafisha,,,,,
upinzani hovyo kabisa

we sepa tu maana hakuna namna na wanaokuja ni wengi
 
CCM imebaki safi sasa imejivua magamba... na mafisad yamenunua saccos ya mtei watanzania fumbuen macho.
 
Hapo kabla ilienea humu jf kuwa Zzk kamuuzia el chama,,,

Sasa imejulikana ni nani kamuuzia el chama.

mganga njaa halisi amejulikana.
 
Lowassa kashaibadilisha Chadema:

1. Kabadilisha ratiba yao ya uchaguzi.
2. Kabadilisha mgombea wao. Dr. Slaa anakatwa kwa sababu ya Lowassa.
3. Kabadilisha bajeti yao ya uchaguzi.
4. Kabadilisha kauli zao kuhusu ufisadi.
5. Kabadilisha ilani yao ya uchaguzi. Sasa tujiulize, nani anayebadili mwenzie? Chadema itambadili Lowassa au Lowassa anaibadili Chadema?
Lowassa yuko kwenye siasa muda mrefu kuliko umri wa Chadema. Kuamini kuwa Lowassa atabadilika ghafla ni kujidanganya kulikopitiliza.
Mpaka sasa Chadema haijabadili chochote kwa Lowassa, yeye ndio anawabadili.
Chadema badala ya kuleta mabadiliko, yenyewe ndio inabadilishwa...
 
Back
Top Bottom