King Kimwe
Senior Member
- Jan 26, 2013
- 130
- 30
Kwani huo uwanja umejengwa na Yanga au Simba hadi kusiwe na uhuru wa kila mtu kukaa anapohitaji kukaa?
Kwanza kama ungelikuwepo uwanjani ungeliweza kuona uchache wa mashabiki wa Simba kwa siku ile...
Yale majukwaa ambayo huzoeleka kukaa mashabiki wa Yanga kulikuwa kumejaa hadi wengine kusimama...
Sasa kwa mtazamo wako ulitaka wenye timu wasimame nje wakati ndani ya uwanja kuna viti wazi vinavyosemekana ni vya mashabiki wa Simba?
pumbavf zake bin zuberi