Mashabiki wa Simba hawakwenda uwanjani sana leo kwa sababu hawautaki uwanja wa Chamazi

1979Magufuli

JF-Expert Member
Feb 20, 2023
438
1,752
Uwanja huo ambao gharama yake kwa mechi moja ni milioni 5.9 kwa siku sisi hatuutaki na ndio maana hatukwenda kwa wingi uwanjani, na mkiendelea kutumia uwanja huo hata nafasi ya nne hamshiki msimu huu.
 
Uwanja huo ambao gharama yake kwa mechi moja ni milioni 5.9 kwa siku sisi hatuutaki na ndio maana hatukwenda kwa wingi uwanjani, na mkiendelea kutumia uwanja huo hata nafasi ya nne hamshiki msimu huu.
Acha kutudanganya wewe, mechi gani ya Simba kwenye ligi mashabiki wamekwenda wengi? Timu mmeisusa zamani tu sababu ni mbovu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom