Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,310
- 4,206
Mashabiki wa mpira waislamu wameonywa na kutahadharishwa kwenye mitandao ya kijamii kutuma ujumbe wa maandishi R.I.P Diogo Jota kwani ni dhambi na kinyume na mafundisho ya kiislam kwasababu Diogo Jota ni kafiri. Muislam hatakiwi kufanya dua Kwa kafir.
Diogo Jota 28 kiungo mshambuliaji wa klabu ya mpira Liverpool na Ureno alikufa pamoja na mdogo wake kwenye ajali mbaya ya gari wiki iliyopita.
Wapenzi wengi wa mpira wamekuwa wakimuenzi kwenye mitandao ya kijamii Kwa kuweka picha Yake na kuandika R.I.P.
Pia wamemkumbusha Mshambuliaji wa PSG Osmane Dembele akifunga goli leo usiku asujudu badala ya kukaa nakukunja miguu akicheza gemu kama ishara ya kumuenzi Diogo Jota ambayo ni kinyume na dini kwasababu yeye ni muislam.
PSG itacheza Leo usiku dhidi ya Real Madrid FCWC mechi Kali.
Source Tiktok video hapo Chini.
View: https://vm.tiktok.com/ZNd5SJ3My/
adriz Farolito MIN-me
Diogo Jota 28 kiungo mshambuliaji wa klabu ya mpira Liverpool na Ureno alikufa pamoja na mdogo wake kwenye ajali mbaya ya gari wiki iliyopita.
Wapenzi wengi wa mpira wamekuwa wakimuenzi kwenye mitandao ya kijamii Kwa kuweka picha Yake na kuandika R.I.P.
Pia wamemkumbusha Mshambuliaji wa PSG Osmane Dembele akifunga goli leo usiku asujudu badala ya kukaa nakukunja miguu akicheza gemu kama ishara ya kumuenzi Diogo Jota ambayo ni kinyume na dini kwasababu yeye ni muislam.
PSG itacheza Leo usiku dhidi ya Real Madrid FCWC mechi Kali.
Source Tiktok video hapo Chini.
View: https://vm.tiktok.com/ZNd5SJ3My/
adriz Farolito MIN-me