Wananyodo sana na kujiona hakuna mpinzani. Aswa Evra. Fergie alisema , Man city mje tu mpate kipigo chenu, akajisahau kuwa , Mancity ndiyo timu iliyospend most kwenye usajili.
Hahaa. Pole mwenetu.
hahahahahahahhahahahView attachment 39786
Aisee sita nyingi sana. Mbaya zaidi pale OT
Tehetehe! wamefanyiwa kitu mbaya sana Mansix
Hawa Man huwa wanachonga sana afadhari wamefungwa midomo
Hapa kitaa sisi mashabiki wa Liverpool, tulitoa kreti 3 za soda. kusheherekea
hatupoo! tumelala na tumekubaliana leo kutokuamka siku nzima!
Hivi kwanini mashabiki wa timu zote wanaichukia manchesita?
Nope umeshasema umesikika
View attachment 39842
dah umeweka mfano hovyo kweli, pole kwa kuwa frustrated... sasa yupi atakua demu wangu hapo, asenane, ma-sista au mancity??Yaani we unaoa kutegemea wanaume wa jirani wamridhishe mkeo? tukueleweje? c rizki? au kha.......maji baridi, weka za ARSENANE hapo mama.
dah umeweka mfano hovyo kweli, pole kwa kuwa frustrated... sasa yupi atakua demu wangu hapo, asenane, ma-sista au mancity??
hebu pata za uso hapo toka kwa mbaraka mwishehe
View attachment 39844
Hapa kitaa sisi mashabiki wa Liverpool, tulitoa kreti 3 za soda. kusheherekea