Mashabiki wa Mamelod Sundows tujuane

Carasco Putin

JF-Expert Member
Apr 23, 2022
8,675
25,850
MASHABIKI WA MAMELOD SUNDOWS TUJUANE MAPEMA Sisi kama mamelod Sundowns tunasema hivi timu tunayoiogopa afrika mashariki na Kati ni simba tu hao wengine hatuwajui

Utopolo mkipata hata goli la offside tu nipigwe ban la mwaka.

MASANDAWENA BA ZULULAND.

BALE BANA BANTA
 
Asante kuweka saini yako na hapa, msimu uliopita kwenye kombe la shirikisho ulihamia kwa kila mpinzani wa Yanga na ukawa unaumbuka pengine unaweza kuwa unafanana na mwasibu wetu wa JF. Ngoja tuone, pengine safari hii
 
MASHABIKI WA MAMELOD SUNDOWS TUJUANE MAPEMA Sisi kama mamelod Sundowns tunasema hivi timu tunayoiogopa afrika mashariki na Kati ni simba tu hao wengine hatuwajui

Utopolo mkipata hata goli la offside tu nipigwe ban la mwaka
MASANDAWENA BA ZULULAND
BALE BANA BANTA
Here they come again out of the woodwork! Ismael Aden Rage hakukosea kabisa. Bravo Aden you are a visionary.
 
Kikosi chetu cha mamelod dhidi ya super sport leo hii
BALE BANA BANTA UBUNTU BOTHO DE MAMELOD
IMG-20240312-WA0701.jpg
 
Asante kuweka saini yako na hapa, msimu uliopita kwenye kombe la shirikisho ulihamia kwa kila mpinzani wa Yanga na ukawa unaumbuka pengine unaweza kuwa unafanana na mwasibu wetu wa JF. Ngoja tuone, pengine safari hii
Kumbe unayo kumbumbumbu nae hii ndio kama ndagu yetu akianza hivi tunatoboa..
Ana bahati ya kuongea vitu kinyumenyume..
 
Tuweke akiba ya maneno ✍️

"Yanga habari yao imeishia hapo, Unashindwa kumfunga Mwarabu nyumbani kwako, timu kubwa Tunisia Club Africain 🇹🇳 utegemee kushinda kwake, wanaenda kutalii"

Full — 🇹🇳 Club Africain 0 - 1 Yanga
______________________________

"Mamaa hahahaa wamepangwa na TP Mazembe na Mwarabu (US Monastir), wakivuka hili kundi mnikate mkono"

Full — Yanga 3 - 1 Mazembe 🇨🇩
Full — 🇨🇩 Mazembe 0 - 1 Yanga
Full — Yanga 2 - 0 US Monastir 🇹🇳

1. Young Africans 🇹🇿 ☑️
2. US Monastir 🇹🇳 ☑️
3. Stade Malien 🇲🇱
4. TP Mazembe 🇨🇩

🎖️ Final (CAF-CC).
_________________________________

"Mwaka huu ukitolewa kwa wakubwa huangukii kombe la LUZA, karibuni kwenye mashindano ya wakubwa. Hahaha wamepangwa na Al-Ahly, na CR Belouizdad 🇩🇿 bingwa mara 4 mfululizo wa Algeria 🇩🇿, kuingia robo fainali kwa hao waarabu ni jambo la kawaida.. Yanga atamaliza wa mwisho kwenye kundi"

"Akikutana na Al-Ahly atapigwa (5-0)"

Group stage final ;

1. 🇪🇬 Al-Ahly Cairo ☑️
2. 🇹🇿 Young Africans SC ☑️
3. 🇩🇿 CR Belouizdad
4. 🇬🇭 Medeama
_______________________________

"Yanga kapigwa (3-0) na CR Belouizdad waje wapindue meza hapa kwa bao (4-0) hahaha wanaota ndoto mchana, Yanga akienda robo fainali CAF-CL NIBAKWE na Serikali isiingilie"

Full — Yanga 4 - 0 CR Belouizdad 🇩🇿
____________________________

"Kwisha habari yao, Hahaha wamepamgwa na Mamelodi Sundowns 🇿🇦, Yanga anaenda kupigwa nyumbani na ugenini, Wameshatoka. Yanga akimtoa Mamelodi nyumba yangu ichomwe moto"

Full — Yanga ? - ? Mamelodi 🇿🇦 ...
 
MASHABIKI WA MAMELOD SUNDOWS TUJUANE MAPEMA Sisi kama mamelod Sundowns tunasema hivi timu tunayoiogopa afrika mashariki na Kati ni simba tu hao wengine hatuwajui

Utopolo mkipata hata goli la offside tu nipigwe ban la mwaka
MASANDAWENA BA ZULULAND
BALE BANA BANTA
Shabiki kindakindaki nakosaje hapa kwenye huu uzi

Nimekuwa shabiki wa Mamelodi tangu Mzee Oliver Thambo akifanya harakati zake za Uhuru huku Mandela akiwa nyuma ya nondo.
 
MASHABIKI WA MAMELOD SUNDOWS TUJUANE MAPEMA Sisi kama mamelod Sundowns tunasema hivi timu tunayoiogopa afrika mashariki na Kati ni simba tu hao wengine hatuwajui

Utopolo mkipata hata goli la offside tu nipigwe ban la mwaka.

MASANDAWENA BA ZULULAND.

BALE BANA BANTA
Mfetu
 
Back
Top Bottom