Kwa kwali sijui kwanini Simba walimchukua huyu jamaa..aisee niyonzima yupo wapi wajemeni
Tulimchukua ili kuizohofisha yanga kwakua wakichukua mchezaji wetu muhimu,,, hii michezo anacheza sana morinho,, ternique ndani na nje ya uwanja... lkn mda bado huyu jamaa atakuja kutupa faida yu ata kidogoKwa kwali sijui kwanini Simba walimchukua huyu jamaa..
Ila anapiga mashuti vibaya nje ya boxndemla mbona hana afya huyo hata upepo unampeperusha