Mashabiki na Ubiingwa wa Chelsea

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
Kumbe na Bongo nasi tumo tungekuwa na uzalendo na upenzi huu kwa timu zetu za hapa nyumbani ingekuwa jambo la mbolea sana, Anyways hongereni Chelsea kwa kunyakua ubingwa wa England.

Ashley-Cole-Chelsea-Premier-League-Title-Cele_2451662.jpg


02a_22_girl-fan_415x275.jpg


ChelseaFansG_468x350.jpg


DSC04446.JPG


IMG_4903-781185.jpg


DSC04479.JPG
 
ubingwa wa kununua!!!!!! ahaaaaaaaaaaaa,magoli nane----------------ahahaaaaaaaaa, maajabu haya----------mambo ya check hayo
 
wabongo bwana hamkosagi cha kusema. Chelsea imetoka kidedea mshaanza ooh wamenunua . kubalini yaishe....and yes 8goals.
 
Kama hamuwezi ku score kama sisi msilete visingizio ooo mechi wamenunua, sijui wamefanya nini hilo ndo soccer la darajani nyieeee
 
Babu FERGIE kafulia, dozi za Chelsea hazikuwa za mchezo! King Carlo mwenyewe anakubali kwamba ubingwa umetokana na kumfunga MAN UTD round zote 2!!
 
Back
Top Bottom