Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 2,217
- 4,276
huyo jamaa sio mselaMambo vipi.
Masela wasome hii watapata kitu
Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na mtoto na mtu mwingine kabla ya mchizi.
Ila hawaishi na huyo mtoto yupo kwa bibi ake uswahilini huko
Miaka yote hiyo Mwanamke alikuwa fresh tu ila akaanza mizinguo kama miezi 6 iliyopita. Kuna muda hataki kumpa jamaa tendo, kawa jeuri mpaka anamtukana mchizi sometimes.
Sasa mchizi akawa anaenda kwa ndugu wanasuluhisha haipiti week mambo yanajirudia.
Mwisho wa siku jamaa ikabidi aanze uchunguzi ajue ni nini hasa kinasababisha hayo yote.
Akaja kugundua wife ana simu mbili, moja huwa anaiacha kwa jirani shoga yake wanawasiliana na baba mtoto wake mapenzi motomoto wanataka kurudiana.
Jamaa akamwambia wife aende kwao atamfata azungumze na wazazi wake akaenda zake job. Kurudi usiku kakuta wife kasafisha nyumba kaondoka na kila kitu, mchizi kwenda nyumbani kwao mwanamke hawampi ushirikiano wowote na hawataki arudiane tena na mtoto wao na kaambiwa ata mtoto siyo wake.
Jamaa anapitia wakati mgumu sana ila kaamua tu kuanza moja maisha mengine yaendelee.
Katika haya maisha sisi ndio tunaamua ni kitu gani kitupe stress na kitu gani kisitupe stress.Mambo vipi.
Masela wasome hii watapata kitu
Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na mtoto na mtu mwingine kabla ya mchizi.
Ila hawaishi na huyo mtoto yupo kwa bibi ake uswahilini huko
Miaka yote hiyo Mwanamke alikuwa fresh tu ila akaanza mizinguo kama miezi 6 iliyopita. Kuna muda hataki kumpa jamaa tendo, kawa jeuri mpaka anamtukana mchizi sometimes.
Sasa mchizi akawa anaenda kwa ndugu wanasuluhisha haipiti week mambo yanajirudia.
Mwisho wa siku jamaa ikabidi aanze uchunguzi ajue ni nini hasa kinasababisha hayo yote.
Akaja kugundua wife ana simu mbili, moja huwa anaiacha kwa jirani shoga yake wanawasiliana na baba mtoto wake mapenzi motomoto wanataka kurudiana.
Jamaa akamwambia wife aende kwao atamfata azungumze na wazazi wake akaenda zake job. Kurudi usiku kakuta wife kasafisha nyumba kaondoka na kila kitu, mchizi kwenda nyumbani kwao mwanamke hawampi ushirikiano wowote na hawataki arudiane tena na mtoto wao na kaambiwa ata mtoto siyo wake.
Jamaa anapitia wakati mgumu sana ila kaamua tu kuanza moja maisha mengine yaendelee.
Kausha mkuuSitaki hata kumjua mtu humu ila alichokiandika ni sawa na simulizi niliyosimuliwa juzi jioni.
Single moms ni kama viwanja vyenye mgogoro.Wakati mnaanza malove davi anakuwa wa ukweli sana na kumkandia mshikaji. Uongo mwingi kwamba hawana mawasiliano hata hajui yupo wapi. Ngoja sasa ujichanganye. Kuna mmoja watoto wetu walikuwa wanasoma shule moja. akanipanga hajui kabisa jamaa yupo wapi.
Siku moja tumepeleka watoto shule, ametumiwa slip anatakiwa kuprint, si akasahau akanipa niprint. Kumbe kalipiwa ada na mzazi mwenzie.
SijaelewaMambo vipi.
Masela wasome hii watapata kitu
Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na mtoto na mtu mwingine kabla ya mchizi.
Ila hawaishi na huyo mtoto yupo kwa bibi ake uswahilini huko
Miaka yote hiyo Mwanamke alikuwa fresh tu ila akaanza mizinguo kama miezi 6 iliyopita. Kuna muda hataki kumpa jamaa tendo, kawa jeuri mpaka anamtukana mchizi sometimes.
Sasa mchizi akawa anaenda kwa ndugu wanasuluhisha haipiti week mambo yanajirudia.
Mwisho wa siku jamaa ikabidi aanze uchunguzi ajue ni nini hasa kinasababisha hayo yote.
Akaja kugundua wife ana simu mbili, moja huwa anaiacha kwa jirani shoga yake wanawasiliana na baba mtoto wake mapenzi motomoto wanataka kurudiana.
Jamaa akamwambia wife aende kwao atamfata azungumze na wazazi wake akaenda zake job. Kurudi usiku kakuta wife kasafisha nyumba kaondoka na kila kitu, mchizi kwenda nyumbani kwao mwanamke hawampi ushirikiano wowote na hawataki arudiane tena na mtoto wao na kaambiwa ata mtoto siyo wake.
Jamaa anapitia wakati mgumu sana ila kaamua tu kuanza moja maisha mengine yaendelee.
1. Kwahiyo akitolewa mahari ndio anaacha umalaya?Amemtolea mahari? Yaani amemuoa au wanaishi pamoja tu? Kama hawajaoana, amteme huyo mwanamke haraka, kosa kubwa tunalofanyaga wanaume ni kumsamehe mwanamke mjinga na kuamini atabadilika.
MBON KAMA IMERUDIWA HII,NISHAWAI KUISOMA HII HUMU HUMUMambo vipi.
Masela wasome hii watapata kitu
Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na mtoto na mtu mwingine kabla ya mchizi.
Ila hawaishi na huyo mtoto yupo kwa bibi ake uswahilini huko
Miaka yote hiyo Mwanamke alikuwa fresh tu ila akaanza mizinguo kama miezi 6 iliyopita. Kuna muda hataki kumpa jamaa tendo, kawa jeuri mpaka anamtukana mchizi sometimes.
Sasa mchizi akawa anaenda kwa ndugu wanasuluhisha haipiti week mambo yanajirudia.
Mwisho wa siku jamaa ikabidi aanze uchunguzi ajue ni nini hasa kinasababisha hayo yote.
Akaja kugundua wife ana simu mbili, moja huwa anaiacha kwa jirani shoga yake wanawasiliana na baba mtoto wake mapenzi motomoto wanataka kurudiana.
Jamaa akamwambia wife aende kwao atamfata azungumze na wazazi wake akaenda zake job. Kurudi usiku kakuta wife kasafisha nyumba kaondoka na kila kitu, mchizi kwenda nyumbani kwao mwanamke hawampi ushirikiano wowote na hawataki arudiane tena na mtoto wao na kaambiwa ata mtoto siyo wake.
Jamaa anapitia wakati mgumu sana ila kaamua tu kuanza moja maisha mengine yaendelee.
✔️Ukioa single mother, wewe ni chaguo la pili.
Aisee.Mambo vipi.
Masela wasome hii watapata kitu
Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na mtoto na mtu mwingine kabla ya mchizi.
Ila hawaishi na huyo mtoto yupo kwa bibi ake uswahilini huko
Miaka yote hiyo Mwanamke alikuwa fresh tu ila akaanza mizinguo kama miezi 6 iliyopita. Kuna muda hataki kumpa jamaa tendo, kawa jeuri mpaka anamtukana mchizi sometimes.
Sasa mchizi akawa anaenda kwa ndugu wanasuluhisha haipiti week mambo yanajirudia.
Mwisho wa siku jamaa ikabidi aanze uchunguzi ajue ni nini hasa kinasababisha hayo yote.
Akaja kugundua wife ana simu mbili, moja huwa anaiacha kwa jirani shoga yake wanawasiliana na baba mtoto wake mapenzi motomoto wanataka kurudiana.
Jamaa akamwambia wife aende kwao atamfata azungumze na wazazi wake akaenda zake job. Kurudi usiku kakuta wife kasafisha nyumba kaondoka na kila kitu, mchizi kwenda nyumbani kwao mwanamke hawampi ushirikiano wowote na hawataki arudiane tena na mtoto wao na kaambiwa ata mtoto siyo wake.
Jamaa anapitia wakati mgumu sana ila kaamua tu kuanza moja maisha mengine yaendelee.