LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,150
- 11,196
Anajiita mchungaji huko instagram na kanisa lake nadhani ni la mtandaoni, siku za hivi karibuni jamaa ameanza kujipendekeza kwa watawala hadi anaboa, mpaka waumini wake wa huko instagram tumeanza kuhisi labda ana biashara zake hivyo sifa na mapambio ni kuwaziba macho watawala
Huyu kama mtumishi alitakiwa ajue kuwa hata kwenye Biblia imetufundisha kutenda haki, ukiiangalia hiyo video utajua jamaa huenda kichwa chake kina shoti au ana magendo yake ndio maana kashajua uwamu hii ukifanya mapambio tu basi utapeta, na anajiita mtumishi.
Huyu kama mtumishi alitakiwa ajue kuwa hata kwenye Biblia imetufundisha kutenda haki, ukiiangalia hiyo video utajua jamaa huenda kichwa chake kina shoti au ana magendo yake ndio maana kashajua uwamu hii ukifanya mapambio tu basi utapeta, na anajiita mtumishi.