Kutokana na wimbi la vijana kugundua fulsa wanazopata wamasai kwa wanawake wa kizungu....imekuwa ngumu kumtambua mmasai orijino na fake.......
original anadushe mbili
Sasa mkuu....itakuwaje mtu awe na vitendea kazi viwili....!Mlemavu wa 2?, 3? Au 4?
Hiwezekani bwana....kwani kikiharibika si kuna spare zake........???Chengine cha hakiba pengine
Sasa mkuu....itakuwaje mtu awe na vitendea kazi viwili....!
Ahaa kumbe wao huwa wanabakishiwa na akiba..........nimekusoma mpwaa.......Mpwa sio vwili bali ni the way wanavyotairiwa ile ngozi haitolewi inawekwa hapa chin kwaajili ya kuwatekenywa na kuwapa utamu wakina dada ndio hapo wanakosea au kupotosha kua zipo2
Sio kweli...wewe ulikutana na mlemavu kama walemavu wengine...