vesta
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 934
- 932
Duu, hebu naomba unielimieshe kidogo, kama hayapo kwenye mkataba hiyo ni implication kuwa wanachukua bure? Na je hiyo quantity ya Gold na Copper waliyoripoti ndio hiyo hiyo imekutwa na kamati?Ujue madini mengine yanaoitwa Gold by product hayapo kwenye mkataba na hatuna cha kuwadai hapo labda hiyo Gold yenyewe na Copper.