Hoja kwamba Mganga anakupa dawa ya utajiri - yeye mwenyewe ni maskini wa kutupwa!! Kwa nini asijipe utajiri huo yeye mwenyewe, mkewe ama nduguze?
Jibu: Uganga ni wito wa kimizimu; Uganga unatumia mizimu na ile sadaka ya damu na hela unayotoa ni lazima iidhinishwe na mizimu ambayo ndiyo inayokutumia wewe kuganga watu.
Kama mganga ataenda kinyume na maagizo ya mizimu chamoto atakipata; anaweza kuona nyumba yake kituo cha police.
Uchawi na uganga una masharti yake ambayo mganga ama mchawi akiyakiuka tu anakwenda na maji.
Kuna watu huchoka kuroga ama kuagua lakini wanashindwa kuacha sababu ya kuogopa adhabu.
Haya mambo huwa ni maagano ya roho ambazo mababu na mababu wa ukoo husika wali sign - kwenda kimyume na maagano haya wengi hutumbukia kwenye laana; Kumbukeni mababu zetu hawakuwa na makanisa bali waliabudu Mizimu kama Miungu yao, maana Mizimu inapenda kuabudiwa ili ifurahi then iachie baraka kwako ama kwa ukoo wenu.
Kwa kumalizia tu ni kwamba UCHAWI upo; na uganga UPO utake usitake.
Ila kumbuka pia kuna makanjanja wameingilia fani kuibia watu, wanaharibu fani yetu ya utatibu wa kiasili.
Jibu: Uganga ni wito wa kimizimu; Uganga unatumia mizimu na ile sadaka ya damu na hela unayotoa ni lazima iidhinishwe na mizimu ambayo ndiyo inayokutumia wewe kuganga watu.
Kama mganga ataenda kinyume na maagizo ya mizimu chamoto atakipata; anaweza kuona nyumba yake kituo cha police.
Uchawi na uganga una masharti yake ambayo mganga ama mchawi akiyakiuka tu anakwenda na maji.
Kuna watu huchoka kuroga ama kuagua lakini wanashindwa kuacha sababu ya kuogopa adhabu.
Haya mambo huwa ni maagano ya roho ambazo mababu na mababu wa ukoo husika wali sign - kwenda kimyume na maagano haya wengi hutumbukia kwenye laana; Kumbukeni mababu zetu hawakuwa na makanisa bali waliabudu Mizimu kama Miungu yao, maana Mizimu inapenda kuabudiwa ili ifurahi then iachie baraka kwako ama kwa ukoo wenu.
Kwa kumalizia tu ni kwamba UCHAWI upo; na uganga UPO utake usitake.
Ila kumbuka pia kuna makanjanja wameingilia fani kuibia watu, wanaharibu fani yetu ya utatibu wa kiasili.