Just a person
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 995
- 1,254
Mkuu usitake nitukanwe matusi uku mtu anaugonjwaUngechek nini mkuu, sijaelewa
Mkuu usitake nitukanwe matusi uku mtu anaugonjwaUngechek nini mkuu, sijaelewa
Ulipo tupo unakwama wapi? 😀Mkuu nenda hospital
Acha kututia nyege wengine hatujatiwa siku nyingi
Na utatukanwa kweli kuleta utani kwenye serious issue 😂Mkuu usitake nitukanwe matusi uku mtu anaugonjwa
Mbona yeye hata hajamaanisha hivo, wewe ndiye msemaji wake kwaniAngeomba mzigo
Daktari umetoa muingozo mzuri lakini hujamwambia anatibu ugonjwa gani mkuu.Nunua hizi dawa na tumia nitakavyokuelekeza.
Tab.Cefixime 400mg PO stat... Hivi utakunywa Mara Moja.
Tab.Azithrimycin 1gm PO stat.hivi utakunywa Mara Moja Kwa pamoja nahapo juu.
Benzyl benzoate Emulsion 25% (BBE). Ukishaoga, Tumia maji ya uvugu uvugu kusafisha Eneo lote la liloathirika kuanzia mapajan kuja Kwa uume..
Kisha jikaushe Kwa kitambaa safi na Pakaa hiyo dawa BBE Kila siku Asubuh au kila siku Jioni Kwa muda wa siku 4.
Hakikisha Nguo zako zote ulovaaa na mashuka na makava ya kitandan, ama meyafua Kisha umeyanyoosha Kwa pasi au umeyasuuzia kwenye maji ya moto.
Badili nguo za Ndani Mara mbili Kwa siku, usivae nguo ya ndan bila kuinyoosha .
Kwa muda Huu Achana na Mademu.
Nimekuja 😅😅😅
Msaidie jamaa hapoNimekuja 😅😅😅
Aende tu hospitali. Sie waganga wa mchongo tutampoteza.Msaidie jamaa hapo
Vipi mkuyenge umeamsha hisia zako auMaoni yangu Futa picha ya kwanza bakiza hiyo ya pili watu wataelewa tu.
Hospital wameshampima wameshindwaAende tu hospitali. Sie waganga wa mchongo tutampoteza.
Kapime Gono na syphilis.Wanna JF anaejua jina na dawa ya huu ugonjwa anisaidie tafadhali maana nmeenda hospital kupima ukimwi naambiwa Sina, wanasema labd UTI lakini UTI Sina ,mbomba La mkojo linawasha hatari na hvo vipele vinawasha Sana na kila siku vinaibuka vipya hali si nzurii msaada jamani kuna mdada nilimchakata ndo nkaanza kuona dalili hizi
View attachment 2330205View attachment 2330206
Pia mawasiliane na alimuambukiea nae anywe dawa.Nunua hizi dawa na tumia nitakavyokuelekeza.
Tab.Cefixime 400mg PO stat... Hivi utakunywa Mara Moja.
Tab.Azithrimycin 1gm PO stat.hivi utakunywa Mara Moja Kwa pamoja nahapo juu.
Benzyl benzoate Emulsion 25% (BBE). Ukishaoga, Tumia maji ya uvugu uvugu kusafisha Eneo lote la liloathirika kuanzia mapajan kuja Kwa uume..
Kisha jikaushe Kwa kitambaa safi na Pakaa hiyo dawa BBE Kila siku Asubuh au kila siku Jioni Kwa muda wa siku 4.
Hakikisha Nguo zako zote ulovaaa na mashuka na makava ya kitandan, ama meyafua Kisha umeyanyoosha Kwa pasi au umeyasuuzia kwenye maji ya moto.
Badili nguo za Ndani Mara mbili Kwa siku, usivae nguo ya ndan bila kuinyoosha .
Kwa muda Huu Achana na Mademu.
Ndiyo mkuu, je una cha kushauri kuhusu hilo?Vipi mkuyenge umeamsha hisia zako au
Naamini tapata msaada hapaHospital wameshampima wameshindwa
Naweza kukuhudumia?Ndiyo mkuu, je una cha kushauri kuhusu hilo?