Sauti ya amani
Member
- Jul 19, 2022
- 68
- 92
Wanna JF anaejua jina na dawa ya huu ugonjwa anisaidie tafadhali maana nmeenda hospital kupima ukimwi naambiwa Sina.
Wanasema labd UTI lakini UTI Sina, mbomba La mkojo linawasha hatari na hvo vipele vinawasha Sana na kila siku vinaibuka vipya hali si nzurii msaada jamani kuna mdada nilimchakata ndo nkaanza kuona dalili hizi.
Wanasema labd UTI lakini UTI Sina, mbomba La mkojo linawasha hatari na hvo vipele vinawasha Sana na kila siku vinaibuka vipya hali si nzurii msaada jamani kuna mdada nilimchakata ndo nkaanza kuona dalili hizi.
