Nakuunga mkono, Ila nadhani mwenzetu alidhani ni Masaburi wa UDA etc!!!
Any way kwa kuwa hatuwezi kuifuta ni habari njema, na ki nchi inatuunganisha kisiasa pia hasa ukizingatia michezo kwa Tanzania imejaa siasa zaidi (maana nilisafiri kwenye ndege na mchezo mmoja wa kigeni (jina kapuni akanidokeza hivyo pia) Lakini nina swali kwamba awali niliwahi kusikia kwamba mpaka mchezji ukubalike Uingereza ni lazima nchi yako iwe kwenye viwango vya Ubora katika FIFA