jogi JF-Expert Member Joined Sep 25, 2010 Posts 25,556 Reaction score 25,369 Dec 28, 2017 #21 Anakataaje kutubu? Fupa limemkwama hili asaidiwe kulitoa/kulikwamua.
busy bees JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 2,249 Reaction score 1,348 Dec 28, 2017 #22 zitto junior said: Siasa ni maisha ya kila siku na kila unachokiona mbele yako kinakuwa affected na siasa...... sasa unaposema mtu asiwaze siasa muda wote sijui una maana gani Click to expand... Asante kiongozi ... utachukua kwa kadri uelewavyo na kwa ufahamu wako pia ... but I think I just did what I thought is good.
zitto junior said: Siasa ni maisha ya kila siku na kila unachokiona mbele yako kinakuwa affected na siasa...... sasa unaposema mtu asiwaze siasa muda wote sijui una maana gani Click to expand... Asante kiongozi ... utachukua kwa kadri uelewavyo na kwa ufahamu wako pia ... but I think I just did what I thought is good.
Raphello Senior Member Joined Mar 20, 2017 Posts 159 Reaction score 196 Dec 28, 2017 #23 Jirani yangu ni Tanzania,ikitaka kuongeza spidi ya Maendeleo inabidi lifupa(CCM) lidondoshwe na likanyagwe na semi la tani mia nane.
Jirani yangu ni Tanzania,ikitaka kuongeza spidi ya Maendeleo inabidi lifupa(CCM) lidondoshwe na likanyagwe na semi la tani mia nane.
king suleman JF-Expert Member Joined Jun 28, 2014 Posts 1,749 Reaction score 1,153 Dec 28, 2017 #24 Thump Up,