and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 4,515
- 14,987
Utakuwa kishangazi, jishangazi inabidi uwe umenona kweri kweri.Jishangazi lisilo na nyama
Hasira za kutotongozwa hizoHuyu Alie dislike alaaaniwe pakubwa kwa kosa gani nimefanya apoπ
Kipimo changu kabisaJishangazi lisilo na nyama
Kwanza nilivyo na roho mbaya hata huyo mtoto wa mamkwe atajuta nitakavyokuwa namsimangaUtakuwa kishangazi, jishangazi inabidi uwe umenona kweri kweri.
Hata kama ni wazamani akifungua I'd mpya na yeye ni mpya tuππ
Mkuu mm mwenyew simuelewiHuyu Alie dislike alaaaniwe pakubwa kwa kosa gani nimefanya apoπ
Huu mgomo inabidi uanze sasa kwaajir yakeMwinya255 mbona unanipa madis mkuu sikuelewi ππ
Leo kishavurugwa uko alikokuaππhajui alitendalo maana sio yeyeMkuu mm mwenyew simuelewi
Kapeace Ebu muelekeze sio kitu dis apa huyu mutuπ€Leo kishavurugwa uko alikokuaππhajui alitendalo maana sio yeye
Ilo nalo nenoIla wengine si umewapa?
Huwezi katalia wote,ππππ
ππππShida kujiuguzaMwinya255 futa namba zangu π
Kivip?ππππShida kujiuguza