Marubani hodari na wapiga gitaa warembo waliowakimbia Taliban wafukuzwa kama mbwa huku wakiwa na hofu kurudi kwao.

Marubani hodari na wapiga gitaa warembo waliowakimbia Taliban wafukuzwa kama mbwa huku wakiwa na hofu kurudi kwao.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
10,488
Reaction score
16,646
Kama kuna wapalestina hawajasoma yanayowapata wenzao wanaojipendekeza kwa adui basi wasome mikasa inayowapata marubani hodari walioshirikiana na jeshi la Marekani kuwapiga wenzao wa Taliban.
Marubani hao kama vile Tauheed Khan wamekuwa wakipata vitisho na kufokewa kama mbwa koko ili wafungashe warudi kule walikotoka wakiwakimbia Taliban siku walipowafurusha wamarekani.

Mkasa kama wa marubani unawaandama warembo wapiga gitaa ambao walikuwa wakitumbuiza Kabul wakati nchi yao ilipokuwa chini ya utawala wa kijeshi wa Marekani.
Taliban walipoingia madarakan kwa kujua hawaendekezi miziki madada hao wakiwa wasichana waliona bora wawafuate wamarekani huko kwao.Sasa mambo yamebadilika na hawana furaha tena kuishi huko kutokana na hofu ya kurudishwa Kabul na utawala wa Trump.
1743241696443.png

Afghan pilots who fought in 20-year war against Taliban in limbo after Trump blocks US resettlement plans.​

Four Afghan girl guitarists escaped the Taliban. Will they be forced back?

 
Washukuru wako hai hadi leo. Wangeendelea kubaki Kabul leo makaburi yao yangeshatitia siku nyingi sana.
Walichokikimbia sasa watakipata wakati Trump akiwarudisha na pingu za mikono juu.
 
Walichokikimbia sasa watakipata wakati Trump akiwarudisha na pingu za mikono juu.
Wakirudishwa wachinjeni kabsa hadharani huku mnaimba ule wimbo wenu maarufu"Allahu Akbar" . Huu wimbo Allah wa Hamas na Hezbollah anaupenda sana ndo maana anawapambania dhidi ya Myahudi na kuna kila dalili Hamas na Hezbollah watashinda kupitia huyu Allah
 
Wakirudishwa wachinjeni kabsa hadharani huku mnaimba ule wimbo wenu maarufu"Allahu Akbar" . Huu wimbo Allah wa Hamas na Hezbollah anaupenda sana ndo maana anawapambania dhidi ya Myahudi na kuna kila dalili Hamas na Hezbollah watashinda kupitia huyu Allah
Mungu wa kweli hana wimbo wala hapendi kuimbiwa.
 
Utawala wa Kidini wa Taliban umeiharibu sana Afghanistan.
 
Back
Top Bottom