Martin munisi ambaye ni mwkt wa uvccm wilaya ya Arusha mjini amejisa kwenye kinyang'anyiro cha ubunge jimbo la Hai
jimbo la Hai ambalo linalo ongozwa na Freman mbowe chadema wana ccm wengine waliyo jitokeza mpaka sasa ni wa tano Fuya Dastan malya nk.
Munisi akiongea na Hai Fm alisema yeye anamashaka na kura za maoni ndani ya chama tuu ila ushindi kwa wananchi upo nje kabisa mbowe ni size yangu naleta ushindi saa tatu asubuhi
kwa miaka kumi ame shindwa kutuwakilisha
jimbo la Hai ambalo linalo ongozwa na Freman mbowe chadema wana ccm wengine waliyo jitokeza mpaka sasa ni wa tano Fuya Dastan malya nk.
Munisi akiongea na Hai Fm alisema yeye anamashaka na kura za maoni ndani ya chama tuu ila ushindi kwa wananchi upo nje kabisa mbowe ni size yangu naleta ushindi saa tatu asubuhi
kwa miaka kumi ame shindwa kutuwakilisha