Martha Karua, Agather na Boniface Mwangi, watakuja kufafanua vifungu vya sheria ya uhaini vinavyotaka kutumika kumtia hatiani Tundu Lissu?

Martha Karua, Agather na Boniface Mwangi, watakuja kufafanua vifungu vya sheria ya uhaini vinavyotaka kutumika kumtia hatiani Tundu Lissu?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,142
Reaction score
162,538
Tangu Tundu Lissu ataje orodha ya mashahidi wake, mashahidi kutoka Kenya na Uganda ambao hawakuwepo eneo la tukio (kwenye mkutano ambao Lissu alisema "tutakinukisha") na ambao si hata viongozi wa CHADEMA, nimebaki najiuliza swali hili:

Watu hawa(Martha Karua, Agather na Boniface Mwangi) watakuja kutoa ushahidi gani katika hii kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu?

Kwa maneno mengine, wanahusikaje na hii kesi?

Je, watakuja kufafanua vifungu vya sheria ya uhaini kulingana na sheria yenyewe ya uhaini kwa kuulizwa na mshitakiwa mahakamani?

Lissu, kama mwanasheria mbobezi, ni wazi anajua umuhimu wa ushahidi wa hawa mashahidi kutoka Kenya na Uganda kwenye kesi yake.

Wanasheria mnaolewa haya mambo, tunaomba mtupe walau Mwanga kuhusu haya mambo ya kisheria kabla ya wahusika kuanza kutoa ushahidi wao mahakamani.

Waandishi wa habari wa humu nchini, mnashindwa kutafuta wanasheria na mkawahoji ili watu tupate uelewa wa hili jambo kabla wahusika hawajaanza kutoa ushahidi wao mahakamani?

NB: Martha Karua, Agather na Boniface Mwangi, teyari wamekubali kuja kutoa ushahidi wao katika hii kesi ya uhaini inayomkabilishi Tundu Lissu.
 
Kama hawaji kukutetea wewe basi piga kimya. Aliyewachagua anajua zaidi anachokitaka
 
Kama hawaji kukutetea wewe basi piga kimya. Aliyewachagua anajua zaidi anachokitaka
Hapana, ni vizuri tukajua wanatoa ushahidi katika mazingira gani

Kumbuka: Sababu za Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA kuitwa mahakamani zimetajwa moja kwa moja na Lissu mwenyewe na hata sababu za Raisi Samia, Mpango na Majaliwa kuitwa tumeshazielewa
 
Kama hawaji kukutetea wewe basi piga kimya. Aliyewachagua anajua zaidi anachokitaka
Hapana, ni vizuri tukajua wanatoa ushahidi katika mazingira gani

Kumbuka sababu za Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA kuitwa mahakamani zimetajwa moja kwa moja na Lissu mwenyewe na hata sababu za Raisi Samia, Mpano na Majaliwa kuitwa tumeshazieleea
 
Mbona ni hesabu za common sense tu?

Ni kwamba ameshawafungulia milango wanasiasa na wanaharakati wa Afrika Mashariki kuja kuhudhuria kesi hii ya kisiasa.

Hao watajwa hapo juu hawatapanda kizimbani, ila kwa kuwa wameshaingia kwenye list ya mashahidi, basi kushiriki kwao mahakamani hakupingiki.
 
Hapana, ni vizuri tukajua wanatoa ushahidi katika mazingira gani

Kumbuka sababu za Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA kuitwa mahakamani zimetajwa moja kwa moja na Lissu mwenyewe na hata sababu za Raisi Samia, Mpano na Majaliwa kuitwa tumeshazieleea
kwani wewe HAKIMU

By the way nyie maFISIEM mmeifungia JF ila mnatumia VPN kuja kutuchungulia tunachoongea!
 
Mbona ni hedabu za common sense tu?

Ni kwamba ameshawafungulia milango wanasiasa na wanaharakati wa Afrika Mashariki kuja kuhudhuria kesi hii ya kisiasa.

Hao watajwa hapo juu hawatapanda kizimbani, ila kwa kuwa wameshaingia kwenye list ya mashahidi, basi kushiriki kwao mahakamani hakupingiki.
Kama hilo linawezekana, basi lengo litakuwa ni kuhakikisha hiii kesi inapata attention kimataifa, na zaid, dunia ishuhudie mwenendo wa mahakama zetu.
 
Mbona ni hesabu za common sense tu?

Ni kwamba ameshawafungulia milango wanasiasa na wanaharakati wa Afrika Mashariki kuja kuhudhuria kesi hii ya kisiasa.

Hao watajwa hapo juu hawatapanda kizimbani, ila kwa kuwa wameshaingia kwenye list ya mashahidi, basi kushiriki kwao mahakamani hakupingiki.
Mleta mada soma hapa,nadhani umeelewa sasa.
 
Mimi naona ni kama mbinu za kuwafrustrate upande wa jamhuri na serikali.

Kumbuka hawa walizuiwa kuingia nchini.
Sasa inabidi serikali iwalinde wawapo nchini tena.
Na sidhani kama kuna sheria inayoruhusu serikali au Mahakama kuzuia shahidi alietajwa na upande wowote kutofika mahakamani.
 
Tangu Tundu Lissu ataje orodha ya mashahidi wake, mashahidi kutoka Kenya na Uganda ambao hawakuwepo eneo la tukio (kwenye mkutano ambao Lissu alisema "tutakinukisha") na ambao si hata viongozi wa CHADEMA, nimebaki najiuliza swali hili:

Watu hawa(Martha Karua, Agather na Boniface Mwangi) watakuja kutoa ushahidi gani katika hii kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu?

Kwa maneno mengine, wanahusikaje na hii kesi?

Je, watakuja kufafanua vifungu vya sheria ya uhaini kulingana na sheria yenyewe ya uhaini kwa kuulizwa na mshitakiwa mahakamani?

Lissu, kama mwanasheria mbobezi, ni wazi anajua umuhimu wa ushahidi wa hawa mashahidi kutoka Kenya na Uganda kwenye kesi yake.

Wanasheria mnaolewa haya mambo, tunaomba mtupe walau Mwanga kuhusu haya mambo ya kisheria kabla ya wahusika kuanza kutoa ushahidi wao mahakamani.

Waandishi wa habari wa humu nchini, mnashindwa kutafuta wanasheria na mkawahoji ili watu tupate uelewa wa hili jambo kabla wahusika hawajaanza kutoa ushahidi wao mahakamani?

NB: Martha Karua, Agather na Boniface Mwangi, teyari wamekubali kuja kutoa ushahidi wao katika hii kesi ya uhaini inayomkabilishi Tundu Lissu.
Sasa siusubiri ushahidi wao una haraka ya nini ?mnaanza kumchagulia na mashahidi?
 
Hao mashaidi hasa maza hawezi kufika hapo kizimbiani..

Mashaidi wasipofika mahakamani
Manaake hukuna kesi
 
Back
Top Bottom