Marriage can be enjoyed

Marriage can be enjoyed

blotter20

Member
Joined
Sep 19, 2014
Posts
53
Reaction score
14
Hizi ndoa hizi, ndoa za zamani anniversary ya ukweli ni miaka 25 na miaka 50 kwanza wengine hata hawazisherehekei. sikuhizi ukigonga miaka 10 ya ndoa unatoa hadi sadaka ya shukrani kanisani na sherehe kabisa maana hata nyie wanandoa wenyewe hamjiamini kuwa mmewezawezaje kwa maana muziki wake sio mchezo aisee.

Sikuizi miaka mitano tu ya ndoa, mtu ana vidonda vya tumbo tayari, mtu ana presha, mtu ana ugonjwa wa kukosa usingizi, tatizo nini? Badala ya kuingia ili kutua mizigo watu wanaingia kujitwika mizigo. This is sad, but ukweli bado unabaki kwamba

"Ndoa inaweza kufurahiwa", " marriage can be enjoyed"
 
Uzoefu wako kwenye ndoa?
Uoa au kuolewa kwa muda gani hadi dakika hii?
 
HIZI NDOA HIZI!!!!!!!
Ndoa za zamani anniversary ya ukweli ni miaka 25 na miaka 50 kwanza wengine hata hawazisherehekei. skuhizi ukigonga miaka 10 ya ndoa unatoa hadi sadaka ya shukrani kanisani, na sherehe kabisa maana hata nyie wanandoa wenyewe hamjiamini kuwa mmewezawezaje kwa maana muziki wake sio mchezo aisee. Skuizi miaka mitano tu ya ndoa, mtu ana vidonda vya tumbo tayari, mtu ana presha, mtu ana ugonjwa wa kukosa usingizi, tatizo nini? Badala ya kuingia ili kutua mizigo watu wanaingia kujitwika mizigo. This is sad, but ukweli bado unabaki kwamba "ndoa inaweza kufurahiwa", " marriage can be enjoyed"

J'4 kuna jamaa ofcn kufanya part (naomba unielewe ninaposema part)
Guess the time "one year"
Ni mwaka Jana same month tumemuozesha! ! Wonders shall never end
 
nakuunga mkono kwa kuwa umemalizia vzr kwamba ndoa ina furaha kama itakavyokuwa yangu. nawatakia amani ya Yesu Kristo Ikae Ktk Ndoa Zenu
 
Zamani ipi hiyo ambayo haikuwa na matatizo ya ndoa?
 
Siku hizi hakuna uvumilivu na watu wanaoana kimaslahi...

Siyo uvumilivu
Ke inataka kucheza namba ya me mf kukojoa amesimama.
Me inataka kucheza namba ya ke kama kifo cha mende .


Endapo sheria hizi hapa zingefuatwa mambo shwari kabisa.
Mume kupenda.
Mke kutii
Ndoa ni mpaka uzee ni sheria hizo tu.
 
it can be done, every one should play his/her part
 
Sasa kama mmezifanyia modification zipo mpaka za mikataba na idadi ya watoto na kwa muda huo mmjamiiane mara ngapi kwa mwaka unategemea nini?mnakutana maishaclub au billz keshokutwa mnatutembezea kadi za michango mtondogoo kitchenparty.
Tabia hamjuani yaani shughuli ukimsoma almarhum chinua achebe utamuelewa kuhusu osugirls,sasa kuna haki ya kufanya sharehe baada ya mwaka sababu hata huo mwaka umeisha kwa mbinde.
 
Siyo uvumilivu
Ke inataka kucheza namba ya me mf kukojoa amesimama.
Me inataka kucheza namba ya ke kama kifo cha mende .


Endapo sheria hizi hapa zingefuatwa mambo shwari kabisa.
Mume kupenda.
Mke kutii
Ndoa ni mpaka uzee ni sheria hizo tu.

Aisee uko sahih kabxa mkuu dah umenifurahsha xana nmetoka kumwambia mchumba wang jana tu sheria hzo.
 
Sasa kama mmezifanyia modification zipo mpaka za mikataba na idadi ya watoto na kwa muda huo mmjamiiane mara ngapi kwa mwaka unategemea nini?mnakutana maishaclub au billz keshokutwa mnatutembezea kadi za michango mtondogoo kitchenparty.
Tabia hamjuani yaani shughuli ukimsoma almarhum chinua achebe utamuelewa kuhusu osugirls,sasa kuna haki ya kufanya sharehe baada ya mwaka sababu hata huo mwaka umeisha kwa mbinde.

Kwa kweli!
 
Watu hupenda tu kusifia vitu vya zamani. Zamani mlikuwepo? Nini kimebadilika? Mbona zamani watu walikuwa wanaoana na kuachika tu kama kawaida? Ninachoona tofauti ni kwamba zzamani wanaume walikuwa free sana kuoa mke zaidi ya mmoja na wake zao walilikubali hilo. Kwa ujumla mambo ni yale yale tu hakuna kilichobadilika sana.
 
Back
Top Bottom