Marlow popote ulipo fanya remix ya kibao cha Bado Umenuna unaweza kurudi kwenye game

Hakuna kitu kinaitwa uovu , ukiongelea dini na imani huyo Mungu mnae dai kaacha uovu nae ni kiazi tu kama alijua kila kitu.
Kitu ulichofichwa hapo ni mwanzo wa uovu au historia ya uovu. Inakubidi ufanye utafiti wa kutosha uelewe kwa kina chanzo cha uovu. Ukiweza kupata chanzo chake hapo haitakuwia ugumu kuelewa mpango wa Mungu.
 
Aifanyie Mara ngapi? Remix ilishafanywa na chid Benz kitambo wakati no ukuta ukishindana nao ....
 
Hehe! unafikiri wimbo ukiupebda wewe ndo na hao wa 2000 wataupenda..?

Soko la muziki sasahivi limebadirika hata hao wapya wakikaa kimya kidogo tu unawaona wameshuka!, inahitaji umakini mkubwa sana kukaa kwenye chat sio tu one hit basi!..
Mipango inatakiwa inasukwa, ujue soko linahitaji nini nawe ubadirike vipi, unatakiwa ufanye recruitment management yako kwa usahihi, producers wako na usiwe na producer mmoja kama nywele maana akipitwa na wakati imekula kwako!...

Vitu ni vingi mamii kurudi kwenye mfumo si jambo dogo!.
 
Kitu ulichofichwa hapo ni mwanzo wa uovu au historia ya uovu. Inakubidi ufanye utafiti wa kutosha uelewe kwa kina chanzo cha uovu. Ukiweza kupata chanzo chake hapo haitakuwia ugumu kuelewa mpango wa Mungu.
Ulishawahi kuchukua hata master tu? Huko bongo ukajua nyenzo za utafiti upoje?
 
Kitu ulichofichwa hapo ni mwanzo wa uovu au historia ya uovu. Inakubidi ufanye utafiti wa kutosha uelewe kwa kina chanzo cha uovu. Ukiweza kupata chanzo chake hapo haitakuwia ugumu kuelewa mpango wa Mungu.
Uovu na chanzo vyote ni vyake unless unataka kumchagulia vitu vya kumpa na vya kutompa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…