Sasa Kama unasikiliza clouds pekee, how can you make comparison?Muda naenda kazini asubuhi ndio ninasikiliza redio. Sina muda mwingine zaidi ya morning kusikiliza redio.
So far, Clouds is my first choice for now.
Kwahiyo hiyo mantiki yako hiyo biashara hakuna anaefanya mkuu ingawa madawa tunayaona yapo mitaani.Mkui kwani fikra zangu zimefungwa?
Tunasema ilikuwa wanachafuana maana walitaja majina ya watu mbele ya kamera za waandishi wa habari na kusema wanajihusisha na madawa ila hadi leo wapo mtaani maisha yanaendelea.
Nani kasema biashara haifanyiki?Kwahiyo hiyo mantiki yako hiyo biashara hakuna anaefanya mkuu ingawa madawa tunayaona yapo mitaani.