Marketing and public relation NIT

hhmm nisaidie bs ujasir amal upi nifanye nianze kujiandaa mapema msaada tu ndugu
 
hhmm nisaidie bs ujasir amal upi nifanye nianze kujiandaa mapema msaada tu ndugu
Swali lako gumu kwa sababu kuchagua biashara kuna vitu unapaswa kuangalia kabla ya kuingia kichwa kichwa.

Ukiwa unaingia JF pitia jukwaa la Biashara, Uchumi na Ujasiriamali
Utapata idea nyingi za kujifunza.

Kwa kuwa ww ni mtu wa marketing ambavyo utakaliangalia soko la bidhaa ama huduma yoyote itakuwa tofauti sana na mm ninayeuza bidhaa kwa kutumia traditional ways.
 
Wakuu mimi nasoma course ya marketing and public relation NIT nipo mwaka wa kwanza.nauliza je nikimalza nnaweza kuomba kazi sehemu gani? na je hii course inadeal na nini?[/QUOTEKachange uende logistics au procurement
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…