Mbona wenzako hatukufa kwa presha,
Dogo sikiliza unatakiwa uanze kujifunza ujasiliamali ukiwa huko chuo, ajira sasa hivi ni changamoto.
Fikiria uwalimu miaka 4 iliyopita na hali ilivyo sasa hivi.
Kama umepata mkopo tenga kiasi uanze kufikiri nn cha kufanya kiasi hata ukimaliza chuo unakuwa na kitu cha kufanya, usifikilie sana kuhusu kuajiriwa.