Nimekuwa nikipata Fununu kutoka Kwa madereva malori Nliyowahi kufanya nao mahojiano na walikiri kuwa kila walipoenda safari iliwalazimu kuchukua Wke kila Kituo walipopiga kambi
Marketers,sales na loan officers nao ni hatari sana,huwa kazi zao zinawapelekea kufanya umalaya kutokana na malipo madogo ya ujira wao,they vulnerable coz they mingle with a lot of people in their daily activities
Most of them hawajaoa na kuolewa na they are against marriage beliefs and it's institutions