Mark Mwandosya Live, Sumaye Kesho

Jenerali Ambamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2014
Posts
3,344
Reaction score
2,537
Baada ya matangazo ya Bunge Star tv Prof. Mark Mwandosya atakuwa Live akitangaza nia ya kugombea U-rais

Kesho tarehe 2, Fredrick Sumaye na yeye atakuwa Live.
 
Mbona naona Taarifa ya habari tu hapa StarTV
 
Mgonjwa huyo nani ampe urais,hatutaki gharama za uchaguzi kama zambia
 
Reactions: PPM
hahahahahah....mwenzake wa Mwitongo ametangaza kimya kimya bila chombo chochote cha habari kwenda LIVE...
 
Yoote magamba tu....!!! Lkn ukitafuta nafuu katika wagonjwa bora huyu kuliko Lowassa!!!
 
kesho pia muhongo atatangaza nia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…