Marie Stopes Mwenge-Kituo cha Kutolea Mimba kwa wanafunzi

Marie Stopes Mwenge-Kituo cha Kutolea Mimba kwa wanafunzi

name wadada was chuo ndio wanachofurahia kutolewa mimba. wanafurahia kutiana Vila king a Vila mimba hawaitaki
 
Hii hospitali wanatumia pia kadi za bima vibaya. Ukienda pale utapimwa vipimo ambavyo si lazima na kupewa dawa kali iwe ya antibiotics au malaria hata kama kuna dozi ndogo ambayo ingeweza kutibu ugongwa. Wenye bima zao pale wawe makini. Watu wanachoshwa na dawa na bima kulipa gharama kubwa bila sababu.
 
ungewawekea mtego halafu unawakamatisha wafungwe miaka 30 hawa ni wauwaji hakuna tofauti na wabakaji, sijui nchi hii kama wanasheria kali kuhusu utoaji mimba.
kutoa mimba adhabu yake ni kifungo kisichozidi miaka saba mkuu si 30
 
kutoa mimba adhabu yake ni kifungo kisichozidi miaka saba mkuu si 30

Ni hospital iliyopewa ruhusa na serekali kutoa mimba lakini kama watakuwa wanatoa kiholela itabudi serekali kulifuatilia na kufanya uchunguzi
 
Angemwambia lala nikupime tumbo ndio ungejuwa ni wahuni au sio wanakudunga sindano ukilala wanakugegenda

MBONA MWAKA JUZI MARIE ILEILE YA MWENGE ILIKUJA KESI YA DR KUMBAKA MJAMZITO KWENYE ULTRA SOUND...YAAN AKAMCHOMA NA SINDANO YA USINGIZI...DADA WAWATU KUAMKA ANAKUTA KALOA JAMANI...SHAME...TENA HUYO DR NI MZEE WA KANISA MBEZI MAKONDE KULE..MPK KWENYE MAGAZETI ILITOKA:angry:
 
Hii hospitali wanatumia pia kadi za bima vibaya. Ukienda pale utapimwa vipimo ambavyo si lazima na kupewa dawa kali iwe ya antibiotics au malaria hata kama kuna dozi ndogo ambayo ingeweza kutibu ugongwa. Wenye bima zao pale wawe makini. Watu wanachoshwa na dawa na bima kulipa gharama kubwa bila sababu.

Siyo hapo tu wanapo misuse fomu za bima viko vituo vingi wanacheza dili na watu wa Bima ili wapate pesa nyingi halafu kama 30% wanakula watu wa Bima wanaoidhinisha cheki itoke.Kwa hiyo hili hata uliseme unalia machozi ya damu hakuna atakayelifanyia kazi maana mipesa miingi sana inakusanywa kwa mwezi na nilisikia waziri wa Afya analalamika eti kwa nini hawazitumii zote!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Salam wanaJF,

Kuna hii hospitali ya Maria Stopes maeneo ya Mwenge kama ni mwanamke ukifika una matatizo ya tumbo unaambiwa kapime mkojo then majibu mimba hata kama haipo.

Nilimpeleka mdogo wangu wa kike kufika kaambiwa ana mimba na daktari akamuambia mdogo wangu kama yupo tayari tumpe kazi.

Hakika nilishtuka tukaamua kwenda AAR victoria wakakuta hana mimba sikuridhika tukaenda Agha khan akawa hana mimba, mmh ninajiuliza hapa hivi MARIE STOPES kimekuwa kijwe cha madaktari wahuni?

Kwa hiyo mdogo wako alikuwa anaumwa nini? samahani lakini!
 
inafanya hayo makitu lakini si sera au main objective ya hospital bali ni kazi za nje za madakta!
 
Siyo hapo tu wanapo misuse fomu za bima viko vituo vingi wanacheza dili na watu wa Bima ili wapate pesa nyingi halafu kama 30% wanakula watu wa Bima wanaoidhinisha cheki itoke.Kwa hiyo hili hata uliseme unalia machozi ya damu hakuna atakayelifanyia kazi maana mipesa miingi sana inakusanywa kwa mwezi na nilisikia waziri wa Afya analalamika eti kwa nini hawazitumii zote!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Nimekusoma! Kama ni tatizo kubwa inabidi lifanyiwe kazi na serikali si kuiachia bima na hospitali zipate fedha kwa njia inayoua watu. Mimi sidhani kuwa tatizo la namna hii ni la kuachwa liendelee eti tu kwa sababu liko kwenye hospitali nyingi. Mimi kwa sasa nimemua kulipa cash hasa kwa watoto baada ya kuona madhara.
 
Marie stopes ni Hospitali za makanjanja tu wanaajiri REJECTS na hawawalipi vizuri sasa hiyo kutoa mimba ndo dili zinazowapa hela mjini kwa mfano hapo MARIE STOPES MWENGE ni kituo cha kutoa mimba wanafunzi wa USTAWI na machangudoa wa KONA BAAA hususani mida ya usiku kukiwa hakuna movement nyingi za watu
 
Katika huduma zao wameelezea wanadeal na safe abortion inamaana serikali yetu inalijua hilo.
 
Hawajasusa Bali hii habari Ina ukakasi kidogo
 
Marie_Stopes_in_her_laboratory,_1904.jpg
 
Back
Top Bottom