Seif Kazige Mbambizi
Senior Member
- May 7, 2016
- 135
- 92
Ni ushauri tu kwa wadau wa msingi katika mgogoro wa visiwani kwamba maridhiano ndio njia pekee ya kuondoa wingu lililotanda katika visiwa vinavyounda Zanzibar. Hukuna njia nyingine ya mkato tofauti na hiyo.