Mariam kaniletea ugomvi, namalizaje huu msala?

Mariam kaniletea ugomvi, namalizaje huu msala?

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
42,393
Reaction score
104,788
Nikweli anaitwa Mariam "nime save kwenye ukurasa wa majina ya simu yangu", lakini kiukweli simjui huyu Mariam.

Ipo hivi......
Jana nimetoka kupombeka, mida ya saa tano usiku nimekaa na mamaenu "wengine bibi yenu" Mariam akapiga sim, nikweli ninayo namba yake lakini simjui na sina ukaribu na mwanamke anaitwa Mariam.
Hii kitu imenikosesha amani kabisa, sio kwamba nimekosea.... lakini naona kwamba huyu ni Mariam yupi/wa wapi??

Yaani ilikuaje nikawa na namba nilio save Mariam!! Hii namba nimetazama kwenye muamala imemsoma Mariam, lakini nimepiga sim ili nimuhoji Mariam lakini namba yake haiiti tangu jana.

Wakuu.....
Mganja hajigangi.
Namaanisha janja boy siwelewi imekuaje Mariam.
Sitaki mnishauri, lakini Mariam awe funzo kwenu.
 
FB_IMG_1723479051196.jpg
 
Nikweli anaitwa Mariam "nime save kwenye ukurasa wa majina ya simu yangu", lakini kiukweli simjui huyu Mariam.
Ipo hivi......
Jana nimetoka kupombeka, mida ya saa tano usiku nimekaa na mamaenu "wengine bibi yenu" Mariam akapiga sim, nikweli ninayo namba yake lakini simjui na sina ukaribu na mwanamke anaitwa Mariam.
Hii kitu imenikosesha amani kabisa, sio kwamba nimekosea.... lakini naona kwamba huyu ni Mariam yupi/wa wapi??
Yaani ilikuaje nikawa na namba nilio save Mariam!!
Hii namba nimetazama kwenye muamala imemsoma Mariam, lakini nimepiga sim ili nimuhoji Mariam lakini namba yake haiiti tangu jana.
Wakuu.....
Mganja hajigangi.
Namaanisha janja boy siwelewi imekuaje Mariam.
Sitaki mnishauri, lakini Mariam awe funzo kwenu.
Mganja hajigangi.
Namaanisha janja boy siwelewi imekuaje Mariam.
Sitaki mnishauri, lakini Mariam awe funzo kwenu.😀
 
Nikweli anaitwa Mariam "nime save kwenye ukurasa wa majina ya simu yangu", lakini kiukweli simjui huyu Mariam.
Ipo hivi......
Jana nimetoka kupombeka, mida ya saa tano usiku nimekaa na mamaenu "wengine bibi yenu" Mariam akapiga sim, nikweli ninayo namba yake lakini simjui na sina ukaribu na mwanamke anaitwa Mariam.
Hii kitu imenikosesha amani kabisa, sio kwamba nimekosea.... lakini naona kwamba huyu ni Mariam yupi/wa wapi??
Yaani ilikuaje nikawa na namba nilio save Mariam!!
Hii namba nimetazama kwenye muamala imemsoma Mariam, lakini nimepiga sim ili nimuhoji Mariam lakini namba yake haiiti tangu jana.
Wakuu.....
Mganja hajigangi.
Namaanisha janja boy siwelewi imekuaje Mariam.
Sitaki mnishauri, lakini Mariam awe funzo kwenu.
Mganja hajigangi.
Namaanisha janja boy siwelewi imekuaje Mariam.
Sitaki mnishauri, lakini Mariam awe funzo kwenu.😀
 
Nikweli anaitwa Mariam "nime save kwenye ukurasa wa majina ya simu yangu", lakini kiukweli simjui huyu Mariam.
Ipo hivi......
Jana nimetoka kupombeka, mida ya saa tano usiku nimekaa na mamaenu "wengine bibi yenu" Mariam akapiga sim, nikweli ninayo namba yake lakini simjui na sina ukaribu na mwanamke anaitwa Mariam.
Hii kitu imenikosesha amani kabisa, sio kwamba nimekosea.... lakini naona kwamba huyu ni Mariam yupi/wa wapi??
Yaani ilikuaje nikawa na namba nilio save Mariam!!
Hii namba nimetazama kwenye muamala imemsoma Mariam, lakini nimepiga sim ili nimuhoji Mariam lakini namba yake haiiti tangu jana.
Wakuu.....
Mganja hajigangi.
Namaanisha janja boy siwelewi imekuaje Mariam.
Sitaki mnishauri, lakini Mariam awe funzo kwenu.
Mganja hajigangi.
Namaanisha janja boy siwelewi imekuaje Mariam.
Sitaki mnishauri, lakini Mariam awe funzo kwenu.😀
 
Nikweli anaitwa Mariam "nime save kwenye ukurasa wa majina ya simu yangu", lakini kiukweli simjui huyu Mariam.
Ipo hivi......
Jana nimetoka kupombeka, mida ya saa tano usiku nimekaa na mamaenu "wengine bibi yenu" Mariam akapiga sim, nikweli ninayo namba yake lakini simjui na sina ukaribu na mwanamke anaitwa Mariam.
Hii kitu imenikosesha amani kabisa, sio kwamba nimekosea.... lakini naona kwamba huyu ni Mariam yupi/wa wapi??
Yaani ilikuaje nikawa na namba nilio save Mariam!!
Hii namba nimetazama kwenye muamala imemsoma Mariam, lakini nimepiga sim ili nimuhoji Mariam lakini namba yake haiiti tangu jana.
Wakuu.....
Mganja hajigangi.
Namaanisha janja boy siwelewi imekuaje Mariam.
Sitaki mnishauri, lakini Mariam awe funzo kwenu.
huyo mama yetu hataki upigiwe simu usiku?? any way mwambie tu ni mariam Magdalena, namba ilijisave kwa uweza wa roho mtakatifu.
 
huyo mama yetu hataki upigiwe simu usiku?? any way mwambie tu ni mariam Magdalena, namba ilijisave kwa uweza wa roho mtakatifu.
Mudi wafute huu uzi.
Nitamuambia..... Mariam ni mama yake jizas🙄
 
Nikweli anaitwa Mariam "nime save kwenye ukurasa wa majina ya simu yangu", lakini kiukweli simjui huyu Mariam.
Ipo hivi......
Jana nimetoka kupombeka, mida ya saa tano usiku nimekaa na mamaenu "wengine bibi yenu" Mariam akapiga sim, nikweli ninayo namba yake lakini simjui na sina ukaribu na mwanamke anaitwa Mariam.
Hii kitu imenikosesha amani kabisa, sio kwamba nimekosea.... lakini naona kwamba huyu ni Mariam yupi/wa wapi??
Yaani ilikuaje nikawa na namba nilio save Mariam!!
Hii namba nimetazama kwenye muamala imemsoma Mariam, lakini nimepiga sim ili nimuhoji Mariam lakini namba yake haiiti tangu jana.
Wakuu.....
Mganja hajigangi.
Namaanisha janja boy siwelewi imekuaje Mariam.
Sitaki mnishauri, lakini Mariam awe funzo kwenu.
Mganja hajigangi.
Namaanisha janja boy siwelewi imekuaje Mariam.
Sitaki mnishauri, lakini Mariam awe funzo kwenu.
Inawezekana niliwahi kumtongoza bar, then nimemsahau..😜
Hahahah😂
 
Back
Top Bottom