Maria Sarungi: Katika Siasa hakuna Malaika wala Shetani

Maria Sarungi: Katika Siasa hakuna Malaika wala Shetani

Status
Not open for further replies.
Kaka mimi nakuelewa kwa nini huwaelewi wenzako wa upande wa pili. Ukweli ni kwamba sio rahisi kuwaelewa unless you change your paradigm...the way you see things. in short kuna miwani umevaa.

Jamaa akina Kitila & Zitto wana uwezo wa kuona mbali unless na wewe uwe na huo uwezo huwezi ona hata kidogo.


So mimi nakubaliana na muono
wako!

Remember: Kitila ndio president wa DARUSO wa kwanza ambaye kipindi
chake ali-achieve a lot bila UDSM kufungwa. This tells uwezo wa ku-convince anao bila kupeleka watu
barabarani.

you will never by any means kumshawishi au kumshauri Ben saa 8 abadili muono wake. ameachagua njia hiyo ambayo vilaza wengi huw wanakimbilia, he dont have freemind, he is inclined to Mbowe and slaa, he is jobless by anymeans anatafuta any thing kumpatia maisha.

alisoma kozi zile huko malyasia ambazo akifika Tanzania you will never employ him, ana frustrations nyingi, sasa kama anataka kumpa sumu zitto ulitegemea nini

asante kwa kumuelewa

simply anaaibisha vijana wengi
 
Ni matusi mazito kufananisha Mkakati wa David Plauffe na Mkakati wa MM,M1 &Co katika hili.Ni wapi uliona akina Plouffe wakiwatukana na kuwachafua viongozi wa juu au kusimika uongozi wao ambao ni parallel na kusababisha mgawanyiko ndani ya Democrats?

You can fool some people some time....................
 
JE , KATIKA HAO WOTE ULIOWATAJA , kuna ALIYELIPWA ILI KUHUJUMU CHAMA CHAKE ? NI HIVI , CDM HAIKATAZI WANACHAMA KUGOMBEA VYEO , HILO HATA WEWE UNALIJUA , BALI INAKATAA MAMLUKI NA WASALITI WALIOTUMWA NA WAFADHILI WAO KUPATA UONGOZI ILI KUVURUGA CDM , KWENYE HILI HAKUNA USICHOKIJUA !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom