Marekani yaishauri CCM itafute mwafaka na CUF Zanzibar

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
127,942
244,529
Serikali ya Marekani imeishauri CCM kukaa mezani na chama cha CUF ili kumaliza mzozo wa Kisiasa uliotokana na UCHAGUZI MKUU WA OCTOBER 25 , 2015 .

Hayo yamesemwa na GREGORY SIMPKIMS , ofisa wa Masuala ya sera za kijamii na kisiasa katika ukanda wa nchi za kiafrica zilizo kusini mwa jangwa la sahara , alipoongoza ujumbe wa watu watatu kukutana na Naibu katibu mkuu wa ccm , Abdalla Juma ofisini kwake Kisiwandui .

Chanzo - Mwananchi .

Mytake - Hili suala la Dhuluma ya uchaguzi wa Zanzibar si la kitoto kama tunavyodanganywa .
 
We huwa naonaga unaletaga vitu vya kinafiki sana na huwa havitokei.

Ile ya Mahakama ya ICJ-Uholanzi iliishia wapi?

Pole kwa kujidanganya na maneno yako ya mitandaoni.
Serikali ya Marekani imeishauri CCM kukaa mezani na chama cha CUF ili kumaliza mzozo wa Kisiasa uliotokana na UCHAGUZI MKUU WA OCTOBER 25 , 2015 .

Hayo yamesemwa na GREGORY SIMPKIMS , ofisa wa Masuala ya sera za kijamii na kisiasa katika ukanda wa nchi za kiafrica zilizo kusini mwa jangwa la sahara , alipoongoza ujumbe wa watu watatu kukutana na Naibu katibu mkuu wa ccm , Abdalla Juma ofisini kwake Kisiwandui .

Chanzo - Mwananchi .

Mytake - Hili suala la Dhuluma ya uchaguzi wa Zanzibar si la kitoto kama tunavyodanganywa .
 
Mgogoro ushaisha mahangaiko ya Seif tu ndo yanafanya watu wengine wadhani bado upo
 
Mini niko mtandaoni kwa PC yangu sijaona hicho unasema. Nina kawaida ya kutafuna sana binafsi.
Kama upo kwa PC yako nenda basi hata kwenye milard ayo magazeti ya leo tarehe 14, utaikuta hiyo habari.

Haki ya mtu haipotei bali inaweza kucheleweshwa.

Uchaguzi wa Zanzibar wa mwaka 2015 dunia nzima inajua kuwa Maalim Seif alimshinda Dr She in.

Ila CCM kwa kumtumia 'kada'wao Jecha akaamua 'kuyapindua' matokeo yale.

Mradi hiyo kauli imetoka kwa kiranja wa dunia Marekani, hapo sasa itabidi CCM 'waufyate' au wajifanye kiburi, halafu nchi tukione cha moto kutokana na kibano cha vikwazo vya uchumi tutakavyowekewa na mataifa ya magharibi.
 
Nadhani hata wewe unabisha bila kujua. Nimesema umeleta ya ICJ na Mawakili wasomi wa Uholanzi wa kumuweka Seif kuwa Rais wa Zanzibar, hujakanusaha wala hujajibu.

Kwa hiyo wewe unataka tukuamini tu kwa vile si CCM?

Kuuliza ni muhimu sana.
Sifa kubwa ya mwanaccm ni kubishana hata na Muumba , Mpaka leo bado kuna wanaccm akiwemo Francis Mutungi wanaamini kwamba Lipumba ni Mwenyekiti wa cuf !
 
CCM ifanye muafaka na CUF ipi??? Ya Prof. Lipumba au Maalim Seif?
 
Back
Top Bottom