Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Sio kisa ni muislam bali aliwahi kuropoka mwenyewe kwmb atalipiza kisasi cha kuuliwa kwa baba ake (osama) thats why marekani kamsaka kwa udi na uvumba mpk wamemtia mkononi kabla ya kuleta madhara.
Tupia hiyo clip akiongea hayo maneno, maana mzungu kwenu ni kama Mungu.