Marekani, Uingereza na China zaitaka SGR

Kubwa la Maadui

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
7,968
Reaction score
15,752
Serikali imesema nchi tano zikiwamo China, Marekani na Uingereza zimeonyesha nia ya kuwekeza kwenye ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) ushoroba wa Mtwara kupitia ubia kati ya sekta ya umma na binafsi (PPP).


Nipashe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…