JustDoItNow
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,967
- 1,511
unawashwa wewe.Kura wamempa wenyewe acha awavuruge. Hata baba yangu anajuta kwanini alimpigia kura Magufuli.
unawashwa wewe.Kura wamempa wenyewe acha awavuruge. Hata baba yangu anajuta kwanini alimpigia kura Magufuli.
Huyo mwanamkekwa nini asiende kwao Somalia akaishi huko atoke kwa hao wanaowaita makafiri.Kama hawezi kufanya hivyo basi hana lolote naye ni mnafiki tu.
Mkuu yule kazaliwa pale na ni raia wa pale na pale ndio pao, kama vp nenda kamfukuzeHuyo mwanamke kwa nini asiende kwao Somalia akaishi huko atoke kwa hao wanaowaita makafiri. Kama hawezi kufanya hivyo basi hana lolote naye ni mnafiki tu.
Kazaliwa USA Acha ujinga wwKale kabinti ni kapumbavu sana,pamoja kale kakilaza kenzake,Alexandria Ocarcio Cortez.Haiwezekani utolewe Kenya kwenye lambi ya wakimbizi,upewe uraia USA,na wazazi wako.Halafu uje uongee shombo za kijinga tu.Hata kama kanatofautiana nao,but kaheshim roho za watu 3k waliokufa 9/11.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha chuki... kipumbavu sana Mkuu. Culture zilezile za kijinga kanataka kupeleka nchi za watu. Naona hao waliomchagua wanajaribu "kuonja sumu"; na itawatokea puani maana mbegu za kigaidi kanazojaribu kupandikiza sio za kawaida.
Ww mwenyewe una chuki na visasi mkuuhuwa napata taabu kuamini kuwa nao wanaabudu Mungu nimwabuduye, wamejaa chuki na visasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani makafiri wanaenda kufanya nn Iraq, Afghan Libya somalAcha kutudanganya wewe ajuza usidhani historian ya marekani hatuijui vizuri .
Halafu waislamu huwa mnafuata nini kwenye nchi za makafir nyie watu wa ajabu sana kwanini msiende ishi huko OMan ,Saudis,Jordanian,Sudan
Kila Sikh mnakimbilia UK,US,Canada kufanya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha umebuni, mimi huwa sina chuki, ukiniudhi nakukwambia maisha yanasonga, chuki ni mzigo siwezi kuibeba
Ungekuwa unaishi Saudia unadhani ungekuwa na uhuru wa kubwabwaja pumba na kuwasiliana na wanaume namna hii?Hata hao "makafiri" USA siyo kwao Kama udhanizyo, ni wahamiaji tu kama ilivyo kwa Ilhan Omar na historia inaonesha Waislam walifika kabla ya makafiri huko ambako sasa kunaitwa USA.
Full stopUwezo wa kufikiri wa wenzetu ni dini ya mnyazi Mungu, ndio ukomo wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya tufanye ni kwa waislamu,Hata hao "makafiri" USA siyo kwao Kama udhanizyo, ni wahamiaji tu kama ilivyo kwa Ilhan Omar na historia inaonesha Waislam walifika kabla ya makafiri huko ambako sasa kunaitwa USA.
Uwezo wa kufikiri wa wenzetu ni dini ya mnyazi Mungu, ndio ukomo wao
Sent using Jamii Forums mobile app
... kipumbavu sana Mkuu. Culture zilezile za kijinga kanataka kupeleka nchi za watu. Naona hao waliomchagua wanajaribu "kuonja sumu"; na itawatokea puani maana mbegu za kigaidi kanazojaribu kupandikiza sio za kawaida.
Usipate tabu,huwa napata taabu kuamini kuwa nao wanaabudu Mungu nimwabuduye, wamejaa chuki na visasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, huyo hakuzaliwa US ni wa kuja tu. Aliwakimbia Al Shabab waliotaka kumgeuza "Sex Slave".Mkuu yule kazaliwa pale na ni raia wa pale na pale ndio pao, kama vp nenda kamfukuze
Sent using Jamii Forums mobile app
... angekuwa amefungiwa ndani kutoka barabarani mwiko hadi asindikizwe na kakake!Ungekuwa unaishi Saudia unadhani ungekuwa na uhuru wa kubwabwaja pumba na kuwasiliana na wanaume namna hii?
... dah! naona umemtandika za uso bila huruma! Kumbe mtu mwenyewe kazaliwa Mogadishu 1981 na kuingia US 1992!https://en.wikipedia.org/wiki/Ilhan_Omar
Soma hiyo link,halafu uache uzuzu next time.
... angekuwa amefungiwa ndani kutoka barabarani mwiko hadi asindikizwe na kakake!