Venezuela walijimwambafai (in voice of lt.col retired Jakaya) hivyo hivyo kutahamaki kiongozi kanyakuliwa huku pia maeneo kibao yakiachwa kuwa majivu baada ya kushambuliwa na askari wasioonekana wa jeshi shupavu la Marekani
View: https://m.youtube.com/watch?v=s3GgPQxB2ZA
29 January 2026Venezuela una fananisha na Iran !?
Muulize Netanyahu kilicho wakuta last year 🤣🤣