Marekani ni Paper Tiger mbele ya Iran

Marekani ni Paper Tiger mbele ya Iran

The Dictator

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
4,343
Reaction score
11,837
Sisi Iran hatutishiwi na tweets, sanctions, wala press conference. Mnatumia mabilioni kuleta carrier baharini; sisi tunatumia akili na subira na bado mnasema ‘we’re concerned’.

Kama kweli mna nguvu, mbona kila mara mwisho wake ni ‘dialogue’?

USA mnajiita ‘superpower’, lakini kila mkikutana na mimi mnasema ‘all options are on the table’ halafu mnaondoka bila kugusa chochote. Mnatuogopa zaidi sisi kuliko tunavyowaogopa ninyi.

Mnatutishia sanctions miaka 40 na bado tupo, nyinyi ndio mna inflation, debt ceiling🤣. Mnabakia kuwa wezi na kutumia minguvu kama jinga kwenye vinchi visivyo na tishio.

Kama nguvu zenu ni kweli, kwa nini mshirika wenu mdogo kila siku analia aokolewe?

Nimechoka kelele zako! Kama vipi tuzikunje tu uone kama mimi ni mnyonge kama unavyodhani.

Tupo tayari, paka nyie!!.

af30713f-79e6-40e6-b38c-d610eadaeed6.jpg
 
Only Russia, China, and North Korea are the real threat to US, and I dare to say that US will never ever attack one of this country because it will have a catastrophic consequences
 
Only Russia, China, and North Korea are the real threat to US, and I dare to say that US will never ever attack one of this country because it will have a catastrophic consequences
Russia and China. North Korea hamna kitu mikwara
 
Sifa kuu ya hii dini ya kiswahili ni kuwa na maneno mengi na vitisho mwisho wa siku wakishapigwa wanalia kwamba allah atalipiza kisasi. Bure kabisa.
 
Iran juzi tu amefanya majaribio ya kumbola lake jipya INTERCONTINENTAL BALLISTIC MISSILE

Lilitoka Irani likapita ju ya anga la Urusi

Yani huyu Trump akijichanganya Pentagon itageuka majivu
 
Huyo commander anacheza na akili zenu makobaz, sasa ww endelea kucheka

If you don't know, you will know soon
Us na Israel hawawezi kusogea Iran ni vitisho tu, kwanza Iran kisha test Nuclear na hicho ndicho kimewachangan'ya Trump na Netanyahu. Pia China kapeleka ndege unaambiwa hizo zinazifanya ndege zote za US na Israel zikifika pale Iran kuwa blind hazipati signal yoyote ile. Anacho jidao Trump eti Iran anaomba mazungumzo, hayo si kweli yeye ndiye anaomba mazungumzo.
 
Back
Top Bottom