Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,921
- 15,613
Marekani na Ukraine zinalalamika kuwa Urusi imeikatia Umeme Kyiv toka kwenye mtambo mkubwa wa nyuklia wa kufua umeme uliokuwa mali ya Ukraine kabla ya kuanza vita vya Ukraine. Mtambo huonwa nyuklia wa Zaporizhzhia ndio mtambo mkubwa zaidi kwa Ulaya nzima, na umo kwenye top 10 ya mitambo mikubwa ya nyuklia duniani. Kwa sasa ni mali ya Urusi.
Kwa kweli huu ni udhaifu wa hali ya juu aisee. Zelensky anasema kwa huzuni, huku machozi yakimbubujika kwa uchungu, kuwa mtambo ulijengwa na Ukraine ili uwasaidie waUkraine, inakuwaje mtambo huo unaondolewa kwenye grid ya taifa la Ukraine?! Hadi Ikulu ya Kyiv imakatiwa umeme?! Halafu cha kushangaza umeme wote wameelekezwa kwenda Jamuhuri za Watu wa Luhansk na Donetsk?
Mwambieni Biden na Zelensky watulie...hizo ndio faida za kushindwa vita. Walifanya udhaifu mkubwa sana kushindwa vita ya kuulinda mtambo huo mpaka ukaangukia mikononi mwa majeshinya Urusi. Kama wanataka umeme, waende wakaukomboe mtambo, sio kulialia hapa.
=====
On Thursday, Washington warned Russia against diverting energy from a nuclear plant Kyiv says was cut off from its grid, as calls mount for an independent inspection of the facility.
Ukraine's Zaporizhzhia nuclear plant is under occupation by Moscow's troops and was disconnected from the national power supply on Thursday, the state energy operator said.
"The electricity that it produces rightly belongs to Ukraine, and any attempt to disconnect the plant from the Ukrainian power grid and redirect to occupied areas is unacceptable," State Department spokesman Vedant Patel told reporters.
"No country should turn a nuclear power plant into an active war zone and we oppose any Russian efforts to weaponize or divert energy from the plant," he added.
Kwa kweli huu ni udhaifu wa hali ya juu aisee. Zelensky anasema kwa huzuni, huku machozi yakimbubujika kwa uchungu, kuwa mtambo ulijengwa na Ukraine ili uwasaidie waUkraine, inakuwaje mtambo huo unaondolewa kwenye grid ya taifa la Ukraine?! Hadi Ikulu ya Kyiv imakatiwa umeme?! Halafu cha kushangaza umeme wote wameelekezwa kwenda Jamuhuri za Watu wa Luhansk na Donetsk?
Mwambieni Biden na Zelensky watulie...hizo ndio faida za kushindwa vita. Walifanya udhaifu mkubwa sana kushindwa vita ya kuulinda mtambo huo mpaka ukaangukia mikononi mwa majeshinya Urusi. Kama wanataka umeme, waende wakaukomboe mtambo, sio kulialia hapa.
=====
US warns Moscow not to divert power from Ukraine nuclear plant
Europe's largest nuclear facility has been occupied by Russian troops
By AFP
Published: Fri 26 Aug 2022, 6:54 AMOn Thursday, Washington warned Russia against diverting energy from a nuclear plant Kyiv says was cut off from its grid, as calls mount for an independent inspection of the facility.
Ukraine's Zaporizhzhia nuclear plant is under occupation by Moscow's troops and was disconnected from the national power supply on Thursday, the state energy operator said.
"The electricity that it produces rightly belongs to Ukraine, and any attempt to disconnect the plant from the Ukrainian power grid and redirect to occupied areas is unacceptable," State Department spokesman Vedant Patel told reporters.
"No country should turn a nuclear power plant into an active war zone and we oppose any Russian efforts to weaponize or divert energy from the plant," he added.