Marekani na Jumuiya ya ulaya kusitisha misaada kisa uchaguzi Zanzibar ni unafiki uliokithiri.

mzalendo15

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
1,361
1,053
Marekani na jumiya ya ulaya kusitisha misaada kisa uchaguzi wa Zanzibar ni unafiki uliokithiri.

Siku zote maslahi yao yanapoingiliwa wanajidai kuja na vitisho. Tunapaswa tujiulize kwanini wanashupali suala la Zanzibar peke yake na kuacha kuzungumzia kasoro nyingi sana zilizotokea kwenye uchaguzi Tanzania bara.

Kama walidiriki kusema Uchaguzi wa Tanzania bara ulikuwa wa huru na haki licha ya kasoro zilizo jitokeza basi uchaguzi wa wamarudio Zanzibar ulikuwa wa haki.

Waache unafiki na vikwazo ikibidi Tanzania tujiunge na jumuiya nyingine ambazo hazifungamani na Marekani na Jumuiya ya ulaya wanaotunyonya na kutudidimiza kimaendeleo kwa misaada yao.
 
Marekani na jumiya ya ulaya kusitisha misaada kisa uchaguzi wa Zanzibar ni unafiki uliokithiri.

Siku zote maslahi yao yanapoingiliwa wanajidai kuja na vitisho. Tunapaswa tujiulize kwanini wanashupali suala la Zanzibar peke yake na kuacha kuzungumzia kasoro nyingi sana zilizotokea kwenye uchaguzi Tanzania bara.

Kama walidiriki kusema Uchaguzi wa Tanzania bara ulikuwa wa huru na haki licha ya kasoro zilizo jitokeza basi uchaguzi wa wamarudio Zanzibar ulikuwa wa haki.

Waache unafiki na vikwazo ikibidi Tanzania tujiunge na jumuiya nyingine ambazo hazifungamani na Marekani na Jumuiya ya ulaya wanaotunyonya na kutudidimiza kimaendeleo kwa misaada yao.
natumaini wewe na serikali yako ccm ndio imefikisha taifa hapo waizi wakubwa

swissme
 
Inaniuma sana kusoma uzi wa kijinga kama huu[/QUO

naona ameamka akiwa na matapu tapu kichwani,yaani nimekutana na watu wa mataifa mbalimbali lakini sijawi kuona watu wajinga kama watanzania-kweli yule profesa aliyesema tuna utahira wa kijumuiya alikuwa sahihi
 
Inaniuma sana kusoma uzi wa kijinga kama huu


Kabla ya kujibu naomba uwe unatafari kwanza sisi wote ni waathirika wa mifumo hii ya kibepari hata upinzani ukiingia madarakani bila kutambua huu unyonyaji hatuta piga hatua kimaendeleo kamwe.
 
Marekani na jumiya ya ulaya kusitisha misaada kisa uchaguzi wa Zanzibar ni unafiki uliokithiri.

Siku zote maslahi yao yanapoingiliwa wanajidai kuja na vitisho. Tunapaswa tujiulize kwanini wanashupali suala la Zanzibar peke yake na kuacha kuzungumzia kasoro nyingi sana zilizotokea kwenye uchaguzi Tanzania bara.

Kama walidiriki kusema Uchaguzi wa Tanzania bara ulikuwa wa huru na haki licha ya kasoro zilizo jitokeza basi uchaguzi wa wamarudio Zanzibar ulikuwa wa haki.

Waache unafiki na vikwazo ikibidi Tanzania tujiunge na jumuiya nyingine ambazo hazifungamani na Marekani na Jumuiya ya ulaya wanaotunyonya na kutudidimiza kimaendeleo kwa misaada yao.
Mi cjatarajia kama unaweza kua na uwezo mdogo wa kufikiri kiasi hich. Eti tujitowe ktk mahusiano na marekani na ulaya, kisha tubaki nyuma wenzetu wakitupiga gape. Mwenye akili cku zote hujiweka karibu na matajiri ili kama hakusaidiwa anaweza ata kukuza maarifa ya kutafta. Au umesahau ule usemi wa kiswahili mpembejee kafir upate mradi wako. Badala ya kutoa wazo kua serikali itafte namna ya kukaa na wahsani hao na kuzungumza nao wew ndo unawaza tuachane nao kisha impact yake unaijua? Maana cc bado tunawategemea wso hata katika kuuza rawmaterials zetu. Pia wew unatakiwa ujuwe kua athari yake ni kubwa na inakwenda moja kwa moja kwa wananchi wa chini kabsa. Aidha itapelekea serikali kubadili baadhi ya mipango yake na kuiangalia upya, pia inaweza kusababisha ccm ikashindwa kutekeleza ilani yake kikamilifu. Fikiri kabla ya kusema!!!!
 
Marekani na jumiya ya ulaya kusitisha misaada kisa uchaguzi wa Zanzibar ni unafiki uliokithiri.

Siku zote maslahi yao yanapoingiliwa wanajidai kuja na vitisho. Tunapaswa tujiulize kwanini wanashupali suala la Zanzibar peke yake na kuacha kuzungumzia kasoro nyingi sana zilizotokea kwenye uchaguzi Tanzania bara.

Kama walidiriki kusema Uchaguzi wa Tanzania bara ulikuwa wa huru na haki licha ya kasoro zilizo jitokeza basi uchaguzi wa wamarudio Zanzibar ulikuwa wa haki.

Waache unafiki na vikwazo ikibidi Tanzania tujiunge na jumuiya nyingine ambazo hazifungamani na Marekani na Jumuiya ya ulaya wanaotunyonya na kutudidimiza kimaendeleo kwa misaada yao.


Hii ndiyo shida ya kuwa na elimu ya BRN
 
Mi cjatarajia kama unaweza kua na uwezo mdogo wa kufikiri kiasi hich. Eti tujitowe ktk mahusiano na marekani na ulaya, kisha tubaki nyuma wenzetu wakitupiga gape. Mwenye akili cku zote hujiweka karibu na matajiri ili kama hakusaidiwa anaweza ata kukuza maarifa ya kutafta. Au umesahau ule usemi wa kiswahili mpembejee kafir upate mradi wako. Badala ya kutoa wazo kua serikali itafte namna ya kukaa na wahsani hao na kuzungumza nao wew ndo unawaza tuachane nao kisha impact yake unaijua? Maana cc bado tunawategemea wso hata katika kuuza rawmaterials zetu. Pia wew unatakiwa ujuwe kua athari yake ni kubwa na inakwenda moja kwa moja kwa wananchi wa chini kabsa. Aidha itapelekea serikali kubadili baadhi ya mipango yake na kuiangalia upya, pia inaweza kusababisha ccm ikashindwa kutekeleza ilani yake kikamilifu. Fikiri kabla ya kusema!!!!


Umefafanua vizuri lakini inasikitisha baadhi yetu humu kujibu hoja bila kufafanua.

Ni sisi wapinzani tulikuwa tunalalamika kero za Uchaguzi Tanzanai bara na tukiwalaumu hawa waangalizi wa kimataifa.

Leo hii tena tunawaunga mkono kwenye suala la Zanzibar huku tukiwa tumesahau mambo yaliyo tokea huku Bara tuache kufuata kama bendera fuata upepo tujitafakari upya la sivyo hakuna haja ya kuwa na vyama vya upinzani.
 
HAKUNA UNAFIKI HAPO UKITAKA KUJUA SIO WANAFIKI FANYA HAYA.
*Iachie demokrasia ya znz ifuate mkondo halisi.
*Tengua baadhi ya vifungu vya cyber crime.
KAMA MAFWEZA HAYAJAANZA KUTIRIRIKA.
 
Back
Top Bottom